Surah Naml aya 59 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Naml aya 59 in arabic text(The Ants).
  
   

﴿قُلِ الْحَمْدُ لِلَّهِ وَسَلَامٌ عَلَىٰ عِبَادِهِ الَّذِينَ اصْطَفَىٰ ۗ آللَّهُ خَيْرٌ أَمَّا يُشْرِكُونَ
[ النمل: 59]

Sema: Alhamdu Lillahi! Kuhimidiwa ni kwa Mwenyezi Mungu! Na amani ishuke juu ya waja wake alio wateuwa. Je! Mwenyezi Mungu ni bora, au wale wanao washirikisha naye?

Surah An-Naml in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Say, [O Muhammad], "Praise be to Allah, and peace upon His servants whom He has chosen. Is Allah better or what they associate with Him?"


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Sema: Alhamdu Lillahi! Kuhimidiwa ni kwa Mwenyezi Mungu! Na amani ishuke juu ya waja wake alio wateuwa. Je! Mwenyezi Mungu ni bora, au wale wanao washirikisha naye?


Ewe Mtume! Sema: Hakika mimi namhimidi Mwenyezi Mungu na namsifu Yeye peke yake. Na namwomba Mwenyezi Mungu salama na maamkio kwa waja wake alio wateuwa kwa kuwapa Ujumbe wake. Na ewe Mtume! Waambie washirikina: Je! Kumuamini Mwenyezi Mungu Mmoja, Aliye Mpweke, ni bora kwa mwenye kuamini, au kuabudu masanamu mnayo mshirikisha naye, nayo hayawezi kukudhuruni wala kukufaeni?

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 59 from Naml


Ayats from Quran in Swahili

  1. Ewe Nabii! Mtakapo wapa talaka wanawake, basi wapeni talaka katika wakati wa eda zao. Na
  2. Na fuateni yaliyo bora kabisa katika yale yaliyo teremshwa kwenu kutoka kwa Mola wenu Mlezi,
  3. Tena tulimpa Musa Kitabu kwa kumtimizia (neema) aliye fanya wema, na kuwa ni maelezo ya
  4. Na unapo waona, miili yao inakupendeza, na wakisema, unasikiliza usemi wao. Lakini wao ni kama
  5. Watu wote walikuwa ni umma mmoja. Mwenyezi Mungu akapeleka Manabii wabashiri na waonyaji. Na pamoja
  6. Sema: Hakika Mola wangu Mlezi anaondoa upotovu kwa Haki. Yeye ndiye Mwenye kujua vyema yaliyo
  7. Kisha baada yao tukamtuma Musa na Haruni kwa Firauni na waheshimiwa wake, kwa Ishara zetu.
  8. Na wawili katika ngamia, na wawili katika ng'ombe. Sema: Je, ameharimisha yote madume wawili au
  9. Haiwi kauli ya Waumini wanapo itwa kwa Mwenyezi Mungu na Mtume wake ili ahukumu baina
  10. Na jamaa zake walio kuwa wakimkimu,

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Naml with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Naml mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Naml Complete with high quality
Surah Naml Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Naml Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Naml Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Naml Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Naml Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Naml Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Naml Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Naml Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Naml Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Naml Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Naml Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Naml Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Naml Al Hosary
Al Hosary
Surah Naml Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Naml Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, April 25, 2025

Please remember us in your sincere prayers