Surah Tariq aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّهُ عَلَىٰ رَجْعِهِ لَقَادِرٌ﴾
[ الطارق: 8]
Hakika Yeye ana uweza wa kumrudisha.
Surah At-Tariq in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, Allah, to return him [to life], is Able.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika Yeye ana uweza wa kumrudisha.
Hakika Mwenyezi Mungu aliye muumba hivi hapo mwanzo, bila ya shaka ni Muweza wa kumuumba tena baada ya kufa kwake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Siku atapo wafufua Mwenyezi Mungu, na awaambie yale waliyo yatenda. Mwenyezi Mungu ameyadhibiti, na wao
- Na walio kufuru na kuzikanusha Ishara zetu, basi hao watapata adhabu ya kufedhehesha.
- Na mtakaseni asubuhi na jioni.
- Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Mwenyezi Mungu na Mtume. Basi mcheni Mwenyezi
- Mlipo kuwa mkimuomba msaada Mola wenu Mlezi, naye akakujibuni kuwa: Kwa yakini Mimi nitakusaidieni kwa
- Kisha hakika nyinyi Siku ya Kiyama mtafufuliwa.
- Hii ndiyo Jahannamu ambayo wakosefu wakiikanusha.
- Na mara ya tano kwamba laana ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake ikiwa ni miongoni
- Aseme msemaji mmoja miongoni mwao: Hakika mimi nalikuwa na rafiki
- Na akasema: Hakika mimi nahama, nakwenda kwa Mola wangu Mlezi; Yeye ataniongoa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tariq with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tariq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tariq Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب