Surah Tariq aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Tariq aya 8 in arabic text(The Night-Visitant).
  
   

﴿إِنَّهُ عَلَىٰ رَجْعِهِ لَقَادِرٌ﴾
[ الطارق: 8]

Hakika Yeye ana uweza wa kumrudisha.

Surah At-Tariq in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Indeed, Allah, to return him [to life], is Able.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hakika Yeye ana uweza wa kumrudisha.


Hakika Mwenyezi Mungu aliye muumba hivi hapo mwanzo, bila ya shaka ni Muweza wa kumuumba tena baada ya kufa kwake.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 8 from Tariq


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hakika tumefunuliwa sisi kwamba hapana shaka adhabu itamsibu anaye kadhibisha na akapuuza.
  2. Anauingiza usiku katika mchana, na anauingiza mchana katika usiku. Na amelifanya jua na mwezi kutumikia.
  3. Wala usiwatetee wanao khini nafsi zao. Hakika Mwenyezi Mungu hampendi aliye khaaini, mwenye dhambi.
  4. Na ninasadikisha yaliyo kuwa kabla yangu katika Taurati, na ili nikuhalalishieni baadhi ya yale mlio
  5. Akasema msemaji kati yao: Msimuuwe Yusuf. Lakini mtumbukizeni ndani ya kisima. Wasafiri watakuja mwokota; kama
  6. Hakika Mwenyezi Mungu anao ufalme wa mbingu na ardhi; huhuisha na hufisha. Nanyi hamna Mlinzi
  7. Na zitadhalilika nyuso mbele ya Aliye Hai Milele, Mwangalizi Mkuu. Na atakuwa ameharibikiwa mwenye kubeba
  8. Na wale ambao huyaunga aliyo amrisha Mwenyezi Mungu yaungwe, na wanaikhofu hisabu mbaya.
  9. Hakika sisi tunatumai Mola wetu Mlezi atatusamehe makosa yetu, kwa kuwa ndio wa kwanza wa
  10. Na nani dhaalimu mkubwa kuliko yule anaye mzulia uwongo Mwenyezi Mungu au anaye kanusha Haki

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Tariq with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Tariq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tariq Complete with high quality
Surah Tariq Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Tariq Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Tariq Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Tariq Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Tariq Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Tariq Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Tariq Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Tariq Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Tariq Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Tariq Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Tariq Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Tariq Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Tariq Al Hosary
Al Hosary
Surah Tariq Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Tariq Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, September 15, 2025

Please remember us in your sincere prayers