Surah zariyat aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِنَّ الدِّينَ لَوَاقِعٌ﴾
[ الذاريات: 6]
Na kwa hakika malipo bila ya shaka yatatokea.
Surah Adh-Dhariyat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And indeed, the recompense is to occur.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na kwa hakika malipo bila ya shaka yatatokea.
Na kwamba kwa yakini malipo kwa vitendo vyenu yatakuwa tu hapana hivi wala hivi.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kwa Firauni na waheshimiwa wake. Lakini wao walifuata amri ya Firauni, na amri ya Firauni
- Na Yeye ndiye anaye peleka pepo (za kuvuma) kuwa ni bishara kabla ya kufika rehema
- Yeye ndiye anaye huisha na anaye fisha. Akihukumu jambo liwe, basi huliambia: Kuwa! Likawa.
- Huo ni mgawanyo wa dhulma!
- Saa imekaribia, na mwezi umepasuka!
- Na wale miongoni mwenu wanao kufa na wakawacha wake, na wausie kwa ajili ya wake
- Hakika yeye hana madaraka juu ya walio amini na wakamtegemea Mola wao Mlezi.
- Basi akamwomba Mola wake Mlezi akasema: Kwa hakika mimi nimeshindwa, basi ninusuru!
- Kila nafsi itaonja mauti. Na bila ya shaka mtapewa ujira wenu kaamili Siku ya Kiyama.
- Kwani hawatembei katika ardhi wakaona ulikuwaje mwisho wa walio kuwa kabla yao? Wao walikuwa wengi
Quran Surah in Swahili :
Download Surah zariyat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah zariyat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter zariyat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



