Surah Zumar aya 27 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَقَدْ ضَرَبْنَا لِلنَّاسِ فِي هَٰذَا الْقُرْآنِ مِن كُلِّ مَثَلٍ لَّعَلَّهُمْ يَتَذَكَّرُونَ﴾
[ الزمر: 27]
Na bila ya shaka tumewapigia watu mifano ya kila namna katika hii Qur'ani ili wapate kukumbuka.
Surah Az-Zumar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And We have certainly presented for the people in this Qur'an from every [kind of] example - that they might remember.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na bila ya shaka tumewapigia watu mifano ya kila namna katika hii Qurani ili wapate kukumbuka.
Na bila ya shaka tulikwisha wabainishia watu katika hii Qurani kwa kila mfano wa kuwakumbusha Haki, kwa kutaraji kuwa watakumbuka na watawaidhika.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Je! Mnawaamrisha watu mema na mnajisahau nafsi zenu, na hali nyinyi mnasoma Kitabu? Basi je,
- Na nguo zako, zisafishe.
- Na wakafuatishiwa laana katika dunia hii na Siku ya Kiyama. Basi tambueni mtanabahi! Hakika kina
- Hakika yeye hana madaraka juu ya walio amini na wakamtegemea Mola wao Mlezi.
- Hao ni watu walio kwisha pita. Wao watapata waliyo yachuma, na nyinyi mt apata mliyo
- Tena tutawasimulia kwa ilimu; wala Sisi hatukuwa mbali.
- Na katika ardhi zipo Ishara kwa wenye yakini.
- Hakika Sisi tunahuisha na tunafisha, na kwetu Sisi ndio marejeo.
- Na nini kitakacho kujuulisha ni nini hicho Kinacho kuja usiku?
- Waliyauliza hayo watu wa kabla yenu, kisha wakawa wenye kuyakataa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Zumar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Zumar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zumar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



