Surah Al Balad aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَيَحْسَبُ أَن لَّمْ يَرَهُ أَحَدٌ﴾
[ البلد: 7]
Ati anadhani ya kuwa hapana yeyote anaye mwona?
Surah Al-Balad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Does he think that no one has seen him?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ati anadhani ya kuwa hapana yeyote anaye mwona?
Ati anadhani kwamba mambo yake hayo yamefichikana, hayajui yeyote hata huyo aliye muumba?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi leteni Kitabu chenu kama mnasema kweli.
- Hao ndio ambao Mwenyezi Mungu amewahidi. Basi fuata hidaya yao. Sema: Mimi sikuombeni ujira. Haya
- Mola wetu Mlezi! Na waingize katika Bustani za Milele ulizo waahidi. Na uwape haya pia
- Kwa hivyo tutawatoa katika hao wale walio amini.
- Kisha tukawazindua ili tujue ni lipi katika makundi mawili lilio hisabu sawa muda walio kaa.
- Alipo sikia yule bibi masengenyo yao aliwaita, na akawawekea matakia ya kuegemea, na akampa kila
- Hakika katika hayo ipo Ishara. Na hawakuwa wengi wao wenye kuamini.
- Basi ikawapata adhabu. Hakika katika hayo ipo Ishara. Lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini.
- Na itapo simama Saa wakosefu watakata tamaa.
- Akasema: Naam! Nanyi bila ya shaka mtakuwa katika wa karibu nami.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Balad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Balad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Balad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers