Surah Araf aya 76 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالَ الَّذِينَ اسْتَكْبَرُوا إِنَّا بِالَّذِي آمَنتُم بِهِ كَافِرُونَ﴾
[ الأعراف: 76]
Wakasema wale wanao jivuna: Sisi tunayakataa hayo mnayo yaamini.
Surah Al-Araf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Said those who were arrogant, "Indeed we, in that which you have believed, are disbelievers."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wakasema wale wanao jivuna: Sisi tunayakataa hayo mnayo yaamini.
Wakasema wenye kiburi: Sisi tunapinga na tunayakataa hayo mnayo yaamini nyinyi, na hayo anayo itia Swaleh ya kuwa Mungu ni mmoja.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kuleni na mjifurahishe kidogo tu. Hakika nyinyi ni wakosefu!
- Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,
- Ewe Nabii! Kwa nini unaharimisha alicho kuhalilishia Mwenyezi Mungu? Unatafuta kuwaridhi wake zako. Na Mwenyezi
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Hapana ila uhai wetu wa duniani tu, tunakufa na kuishi basi. Wala sisi hatutafufuliwa.
- Na hakuna siri katika mbingu na ardhi ila imo katika Kitabu kinacho bainisha.
- Humuingiza amtakaye katika rehema yake. Na wenye kudhulumu amewawekea adhabu iliyo chungu.
- Mwenyezi Mungu anatosha kuwa ni shahidi baina yetu na nyinyi. Hakika sisi tulikuwa hatuna khabari
- Au wanawahusudu watu kwa yale aliyo wapa Mwenyezi Mungu kwa fadhila yake? Basi tuliwapa ukoo
- La! Naapa kwa Mola wako Mlezi! Hawataamini mpaka wakufanye wewe ndiye muamuzi katika yale wanayo
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Araf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Araf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Araf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



