Surah Araf aya 76 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالَ الَّذِينَ اسْتَكْبَرُوا إِنَّا بِالَّذِي آمَنتُم بِهِ كَافِرُونَ﴾
[ الأعراف: 76]
Wakasema wale wanao jivuna: Sisi tunayakataa hayo mnayo yaamini.
Surah Al-Araf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Said those who were arrogant, "Indeed we, in that which you have believed, are disbelievers."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wakasema wale wanao jivuna: Sisi tunayakataa hayo mnayo yaamini.
Wakasema wenye kiburi: Sisi tunapinga na tunayakataa hayo mnayo yaamini nyinyi, na hayo anayo itia Swaleh ya kuwa Mungu ni mmoja.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Naapa kwa pepo zinazo tawanya,
- Wala si kauli ya kuhani. Ni machache mnayo yakumbuka.
- Na yeyote kati yao atakaye sema: Mimi ni mungu, badala yake, basi huyo tutamlipa malipo
- Kama kwamba hawakuwamo humo. Zingatia walivyo angamia watu wa Madyana, kama walivyo angamia watu wa
- Wala sijui pengine huu ni mtihani tu kwenu na starehe mpaka muda kidogo.
- Na miji hiyo tuliwaangamiza watu wake walipo dhulumu. Na tukawawekea miadi ya maangamizo yao.
- Ufalme wa mbingu na ardhi ni wake. Na mambo yote yanarejeshwa kwa Mwenyezi Mungu.
- Kama hivyo tuliwateremshia walio gawa,
- Je! Zimekuwasilia khabari za majeshi?
- Na ambao wanapo fanyiwa jeuri hujitetea.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Araf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Araf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Araf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



