Surah Insan aya 31 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يُدْخِلُ مَن يَشَاءُ فِي رَحْمَتِهِ ۚ وَالظَّالِمِينَ أَعَدَّ لَهُمْ عَذَابًا أَلِيمًا﴾
[ الإنسان: 31]
Humuingiza amtakaye katika rehema yake. Na wenye kudhulumu amewawekea adhabu iliyo chungu.
Surah Al-Insan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
He admits whom He wills into His mercy; but the wrongdoers - He has prepared for them a painful punishment.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Humuingiza amtakaye katika rehema yake. Na wenye kudhulumu amewawekea adhabu iliyo chungu.
Humuingiza amtakaye katika Pepo yake. Basi kuingia Peponi ni kwa fadhila na rehema ya Mwenyezi Mungu. Naye amewadhalilisha wenye kudhulumu, amewatengenezea adhabu iliyo chungu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika walio igawa Dini yao na wakawa makundi makundi, huna ukhusiano nao wowote. Bila ya
- Na haiwezekani kwa Nabii yeyote kufanya khiyana. Na atakaye fanya khiyana, atayaleta Siku ya Kiyama
- Na ambao watu watakapo kusanywa watakuwa maadui zao, na wataikataa ibada yao.
- Wale ambao wameamini, na hawakuchanganya imani yao na dhulma - hao ndio watakao pata amani
- Na malipo ya uovu ni uovu mfano wa huo. Lakini mwenye kusamehe, na akasuluhisha, basi
- Hakika wale walio rudi nyuma miongoni mwenu siku yalipo pambana majeshi mawili, Shet'ani ndiye aliye
- Na walio na maskani zao na Imani yao kabla yao, wanawapenda walio hamia kwao, wala
- Hawawi sawa Waumini wanao kaa tu wala hawanadharura, na wale wanao pigana katika Njia ya
- Wao na wake zao wamo katika vivuli wameegemea juu ya viti vya fakhari.
- Ila wale walio amini, na wakatenda mema, na wakausiana kwa haki, na wakausiana kusubiri.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Insan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Insan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Insan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers