Surah Assaaffat aya 79 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿سَلَامٌ عَلَىٰ نُوحٍ فِي الْعَالَمِينَ﴾
[ الصافات: 79]
Iwe salama kwa Nuhu ulimwenguni kote!
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
"Peace upon Noah among the worlds."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Iwe salama kwa Nuhu ulimwenguni kote!
Maamkio ya Salama na Amani kumuamkia Nuhu kutokana na Malaika, na watu, na majini.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Yeye ndiye aliye kuumbeni. Miongoni mwenu yupo aliye kafiri, na yupo aliye Muumini. Na Mwenyezi
- Je! Huoni kwamba Mwenyezi Mungu vinamtakasa vilivyomo katika mbingu na ardhi, na ndege wakikunjua mbawa
- Ewe Mola wangu Mlezi! Nitunukie aliye miongoni mwa watenda mema.
- Na ngamia wa sadaka tumekufanyieni kuwa ni kudhihirisha matukuzo kwa Mwenyezi Mungu; kwa hao mna
- Akasema: Mimi ndiye Mola wenu Mlezi mkuu kabisa.
- Haikufunuliwa kwangu isipo kuwa ya kwamba hakika mimi ni mwonyaji dhaahiri.
- Ewe baba yangu! Usimuabudu Shet'ani. Hakika Shet'ani ni mwenye kumuasi Mwingi wa Rehema.
- Ambao walifanya jeuri katika nchi?
- Atasema: Mlikaa muda gani katika ardhi kwa hisabu ya miaka?
- Au ndio wanasema: Ameizua? Sema: Ikiwa nimeizua, basi kosa hilo ni juu yangu, na mimi
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



