Surah Tin aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَلَيْسَ اللَّهُ بِأَحْكَمِ الْحَاكِمِينَ﴾
[ التين: 8]
Kwani Mwenyezi Mungu si muadilifu kuliko mahakimu wote?
Surah At-Tin in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Is not Allah the most just of judges?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwani Mwenyezi Mungu si muadilifu kuliko mahakimu wote?
Kwani Mwenyezi Mungu aliye yatenda hayo tuliyo kueleza si muadilifu kuliko mahakimu wote kwa kufanya na kupanga?
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Huyo ndiye Isa mwana wa Maryamu. Ndiyo kauli ya haki ambayo wanaifanyia shaka.
- Basi warudisheni baba zetu, ikiwa nyinyi mnasema kweli.
- Basi walipo ihisi adhabu yetu, mara wakaanza kukimbia.
- Na tulipo chukua agano lenu kuwa hamtamwaga damu zenu, wala hamtatoana majumbani mwenu; nanyi mkakubali
- Na hakika haya ni ukumbusho kwako na kwa kaumu yako. Na mtakuja ulizwa.
- Katika maji ya moto, kisha wanaunguzwa Motoni,
- Wala wewe huwaombi ujira kwa haya. Hayakuwa haya ila ni mawaidha kwa walimwengu wote.
- Na kwa wenye kusoma Ukumbusho.
- Kwani hakika yeye alifikiri na akapima.
- NA MIONGONI mwenu atakeye mt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na akatenda mema, tutampa malipo
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tin with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tin Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



