Surah Qaf aya 11 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Qaf aya 11 in arabic text(Qaf).
  
   
ayat 11 from Surah Qaf

﴿رِّزْقًا لِّلْعِبَادِ ۖ وَأَحْيَيْنَا بِهِ بَلْدَةً مَّيْتًا ۚ كَذَٰلِكَ الْخُرُوجُ
[ ق: 11]

Ili iwe ni riziki kwa waja wangu. Na tukaifufua kwa maji nchi iliyo kuwa imekufa. Kama hivyo ndivyo utakavyo kuwa ufufuaji.

Surah Qaf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


As provision for the servants, and We have given life thereby to a dead land. Thus is the resurrection.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Ili iwe ni riziki kwa waja wangu. Na tukaifufua kwa maji nchi iliyo kuwa imekufa. Kama hivyo ndivyo utakavyo kuwa ufufuaji.


Tumeotesha hiyo ili iwe ni riziki kwa waja wetu, na tukaihuisha kwa maji ardhi iliyo kauka mimea yake. Hali kadhaalika ndivyo kufufuliwa wafu kutoka makaburini.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 11 from Qaf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na waonye siku inayo kurubia, wakati nyoyo zitakapo fika kooni, nao wamejaa huzuni. Madhaalimu hawatakuwa
  2. Hiyo ndiyo karamu yao Siku ya Malipo.
  3. Wala usivikodolee macho tulivyo wastareheshea baadhi ya watu miongoni mwao, kwa ajili ya mapambo ya
  4. Lakini walio zikataa Ishara zetu, hao ndio watu wa shari wa kushotoni.
  5. Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao
  6. Na pindi wakikushikilia kunishirikisha na ambayo huna ilimu nayo, basi usiwat'ii. Lakini kaa nao kwa
  7. Na usemi wake (Mtume) ni: Ewe Mola wangu Mlezi! Hakika hawa ni watu wasio amini.
  8. Na ambao husubiri kwa kutaka radhi ya Mola wao Mlezi, na wakashika Sala, na wakatoa,
  9. Nawasikitikia waja wangu. Hawajii Mtume ila wao humkejeli.
  10. Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli wakunjulia riziki waja wake, basi bila ya shaka wangeli

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Qaf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Qaf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qaf Complete with high quality
Surah Qaf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Qaf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Qaf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Qaf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Qaf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Qaf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Qaf Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Qaf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Qaf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Qaf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Qaf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Qaf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Qaf Al Hosary
Al Hosary
Surah Qaf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Qaf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, June 23, 2025

Please remember us in your sincere prayers