Surah Adiyat aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِنَّهُ عَلَىٰ ذَٰلِكَ لَشَهِيدٌ﴾
[ العاديات: 7]
Na hakika yeye mwenyewe bila ya shaka ni shahidi wa hayo!
Surah Al-Adiyat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And indeed, he is to that a witness.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na hakika yeye mwenyewe bila ya shaka ni shahidi wa hayo!
Na hakika yeye mwenyewe bila ya shaka atakuwa mwingi wa kuja jishuhudia huko Akhera kwa kuungama madhambi yake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hawangojei ila ukelele mmoja tu utakao wachukua nao wamo kuzozana.
- Basi wawili hao walipo fika zinapo kutana hizo bahari mbili walimsahau samaki wao, naye akashika
- Na watungaji mashairi ni wapotofu ndio wanawafuata.
- Kisha ulikuwa mwisho wa walio fanya ubaya ni kuzikanusha Ishara za Mwenyezi Mungu, na wakawa
- Na wale wanao kishikilia Kitabu, na wakashika Sala - hakika Sisi hatupotezi ujira wa watendao
- Kisha anatumai nimzidishie!
- Basi wana nini hawaamini?
- Wala hatukuwaona wengi wao kuwa wanatimiza ahadi; bali kwa hakika tuliwakuta wengi wao ni wapotofu.
- Humo wataegemea juu ya viti vya enzi, hawataona humo jua kali wala baridi kali.
- Namna hivi anakubainishieni Mwenyezi Mungu Aya zake ili mpate kufahamu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Adiyat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Adiyat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Adiyat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers