Surah Yasin aya 80 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Yasin aya 80 in arabic text(yaseen).
  
   
ayat 80 from Surah Ya-Sin

﴿الَّذِي جَعَلَ لَكُم مِّنَ الشَّجَرِ الْأَخْضَرِ نَارًا فَإِذَا أَنتُم مِّنْهُ تُوقِدُونَ﴾
[ يس: 80]

Aliye kujaalieni kupata moto kutokana na mti wa kijani nanyi mkawa kwa huo mnawasha.

Surah Ya-Sin in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


[It is] He who made for you from the green tree, fire, and then from it you ignite.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Aliye kujaalieni kupata moto kutokana na mti wa kijani nanyi mkawa kwa huo mnawasha.


Aliye kuumbieni moto kutoka mti mbichi, baada ya kwisha kauka. Nguvu za jua zinaingia ndani ya mimea kwa wasita wa mwangaza. Khalaya zenye madda ya kijani katika mimea Chlorophyl ndizo zinafyonza Carbon dioxide kutokana na hewa, na hii huchanganyika na maji yanayo fonzwa na mimea, na kufanyika Carbohydrates kwa kuathiriwa na nguvu zinazo tokana na mwangaza wa jua. Tena hufanyika mbao, kuni, ambazo sehemu kubwa ni muundo wa kimyaa wa Carbon na Hydrogen na Oxygen. Na kutokana na kuni hizi hufanyika makaa haya ya miti tuyatumiayo. Ukiyachoma makaa hutoka nguvu zilizo kuwamo ndani yake kwa ajili ya kupikia, na kwa kazi nyingi nyenginezo. Na makaa ya mawe si chochote ila ni hiyo hiyo mimea na miti iliyo kuwa na kufanyika kama ilivyo elezwa, na kisha ikazikika kwa njia fulani na kugeuka baada ya kupita mamilioni ya miaka kuwa makaa ya mawe, kwa kuathirika na hali za geology kama joto au mdidimizo au menginewe. Na yapasa kuzingatia kuwa kutajwa katika Aya hii -mti wa kijani- si bure, bali ni ishara ya hiyo Chlorophyll ya kijani ambayo ni lazima kwa ajili ya kuimeza Carbon dioxide katika mimea.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 80 from Yasin


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Yasin with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Yasin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yasin Complete with high quality
    Surah Yasin Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Yasin Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Yasin Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Yasin Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Yasin Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Yasin Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Yasin Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Yasin Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Yasin Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Yasin Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Yasin Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Yasin Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Yasin Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Yasin Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Yasin Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Wednesday, June 25, 2025

    Please remember us in your sincere prayers