Surah Shuara aya 82 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَالَّذِي أَطْمَعُ أَن يَغْفِرَ لِي خَطِيئَتِي يَوْمَ الدِّينِ﴾
[ الشعراء: 82]
Na ambaye ndiye ninaye mtumai kunisamehe makosa yangu Siku ya Malipo.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And who I aspire that He will forgive me my sin on the Day of Recompense."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na ambaye ndiye ninaye mtumai kunisamehe makosa yangu Siku ya Malipo.
Na Yeye ndiye ninaye mtumai kunighufiria na kuyasemehe makosa yangu madogo madogo ya kujikwaa duniani, utapo fika wakati wa hisabu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika Walio amini, na Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu na
- Hakika haya ni mawaidha; basi anaye taka atashika Njia ya kwenda kwa Mola wake Mlezi.
- Na mwitaji kumwendea Mwenyezi Mungu kwa idhini yake, na taa yenye kutoa nuru.
- Basi litakase jina la Mola wako Mlezi aliye Mkubwa.
- Kumkomboa mtumwa;
- (Musa) akasema: Basi ondoka! Na kwa yakini utakuwa katika maisha ukisema: Usiniguse. Na hakika una
- Kila mtu miongoni mwao siku hiyo atakuwa na lake la kumtosha.
- Ewe uliye jifunika!
- Na katika Ishara zake ni vyombo vinavyo kwenda na kurejea baharini kama vilima.
- Hawatakuwa na mamlaka ya uombezi ila wale walio chukua ahadi kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema..
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers