Surah Waqiah aya 87 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Waqiah aya 87 in arabic text(The Inevitable, The Event).
  
   

﴿تَرْجِعُونَهَا إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ﴾
[ الواقعة: 87]

Kwanini hamuirudishi hiyo roho, ikiwa nyinyi mnasema kweli?

Surah Al-Waqiah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Bring it back, if you should be truthful?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kwanini hamuirudishi hiyo roho, ikiwa nyinyi mnasema kweli?


Mrudishieni roho yake huyo aliye kabiliwa na mauti ikiwa nyinyi mwasema kweli kwamba nyinyi mnazo nguvu na hamshindwi.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 87 from Waqiah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Thamudi waliwakanusha Waonyaji.
  2. Na wakadhani kuwa hapatakuwa majaribio; basi wakawa vipofu na viziwi. Kisha Mwenyezi Mungu akawapokelea toba
  3. Hakika sisi zamani tulikuwa tukimwomba Yeye tu. Hakika Yeye ndiye Mwema Mwenye kurehemu.
  4. Hakika amekwisha fanikiwa aliye jitakasa.
  5. Sema: Nyinyi mnayo miadi ya Siku ambayo hamtaakhirika nayo kwa saa moja, wala hamtaitangulia.
  6. Basi akawateka kwa khadaa. Walipo uonja ule mti, tupu zao zilifichuka na wakaingia kujibandika majani
  7. Mkiwaomba hawasikii maombi yenu; na hata wakisikia hawakujibuni. Na Siku ya Kiyama watakataa ushirikina wenu.
  8. Na Sisi hakika tunajua kwamba wanasema: Yuko mtu anaye mfundisha. Lugha ya huyo wanaye muelekezea
  9. Basi Mwenyezi Mungu atawalinda na shari ya siku hiyo, na atawakutanisha na raha na furaha.
  10. Kwani hamwoni jinsi Mwenyezi Mungu alivyo ziumba mbingu saba kwa matabaka?

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Surah Waqiah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Waqiah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Waqiah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Waqiah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Waqiah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Waqiah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Waqiah Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Waqiah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Waqiah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Waqiah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Waqiah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Waqiah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Waqiah Al Hosary
Al Hosary
Surah Waqiah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Waqiah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, November 11, 2025

Please remember us in your sincere prayers