Surah Qalam aya 42 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Qalam aya 42 in arabic text(The Pen).
  
   

﴿يَوْمَ يُكْشَفُ عَن سَاقٍ وَيُدْعَوْنَ إِلَى السُّجُودِ فَلَا يَسْتَطِيعُونَ﴾
[ القلم: 42]

Siku utakapo wekwa wazi mundi, na wataitwa kusujudu, lakini hawataweza,

Surah Al-Qalam in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


The Day the shin will be uncovered and they are invited to prostration but the disbelievers will not be able,


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Siku utakapo wekwa wazi mundi, na wataitwa kusujudu, lakini hawataweza,


Siku mambo yatapo shitadi na yakawa magumu, na wakatakiwa makafiri wasujudu kwa kuwaemea na kuwakejeli, na wasiweze, (Kuwekwa wazi mundi, ni kinaya ya kudhihirishwa kweli yote Siku ya kwima kondo, Siku ya Kiyama. Chambilecho Sayyid Abdulla bin Ali bin Nassir katika Al Inkishaf: Tafakari siku ya kwima kondo Ya kuaridhiwa kila kitendo Pindi madhulumu atapo ondo Achamba Ya Rabi namua naye)

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 42 from Qalam


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na walio mcha Mola wao Mlezi wataongozwa kuendea Peponi kwa makundi, mpaka watakapo fikilia, nayo
  2. Huwaoni wale wanao dai kwamba wameamini yale yaliyo teremshwa kwako na yaliyo teremshwa kabla yako?
  3. Na alikufikieni Musa na hoja zilizo waziwazi, kisha mkamchukua ndama (kumuabudu) baada yake, na mkawa
  4. Mwenyezi Mungu huteuwa Wajumbe miongoni mwa Malaika na miongoni mwa watu. Hakika Mwenyezi Mungu ni
  5. Wakasema: Tumemuamini Mola Mlezi wa viumbe vyote,
  6. Na ambao wanayaamini yaliyo teremshwa kwako, na yaliyo teremshwa kabla yako; na Akhera wana yakini
  7. Siku ambayo kila nafsi itakuja jitetea, na kila nafsi italipwa sawa sawa na a'mali ilizo
  8. Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.
  9. Na ngawira nyingi watakazo zichukua. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
  10. Na vivuli vyake vitakuwa karibu yao, na mashada ya matunda yataning'inia mpaka chini.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Qalam with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Qalam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qalam Complete with high quality
Surah Qalam Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Qalam Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Qalam Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Qalam Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Qalam Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Qalam Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Qalam Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Qalam Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Qalam Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Qalam Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Qalam Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Qalam Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Qalam Al Hosary
Al Hosary
Surah Qalam Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Qalam Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, April 20, 2025

Please remember us in your sincere prayers