Surah Qalam aya 42 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يَوْمَ يُكْشَفُ عَن سَاقٍ وَيُدْعَوْنَ إِلَى السُّجُودِ فَلَا يَسْتَطِيعُونَ﴾
[ القلم: 42]
Siku utakapo wekwa wazi mundi, na wataitwa kusujudu, lakini hawataweza,
Surah Al-Qalam in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
The Day the shin will be uncovered and they are invited to prostration but the disbelievers will not be able,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Siku utakapo wekwa wazi mundi, na wataitwa kusujudu, lakini hawataweza,
Siku mambo yatapo shitadi na yakawa magumu, na wakatakiwa makafiri wasujudu kwa kuwaemea na kuwakejeli, na wasiweze, (Kuwekwa wazi mundi, ni kinaya ya kudhihirishwa kweli yote Siku ya kwima kondo, Siku ya Kiyama. Chambilecho Sayyid Abdulla bin Ali bin Nassir katika Al Inkishaf: Tafakari siku ya kwima kondo Ya kuaridhiwa kila kitendo Pindi madhulumu atapo ondo Achamba Ya Rabi namua naye)
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Mwenyezi Mungu amepiga mfano wa mtu mwenye mabwana washirika wanao gombana, na wa mtu mwengine
- Sema: Mimi sina mamlaka ya kukudhuruni wala kukuongozeni.
- Kisha hakika ni juu yetu Sisi hisabu yao!
- Hakika Sisi tumeiteremsha Qur'ani katika Laylatul Qadri, Usiku wa Cheo Kitukufu.
- Na akamfundisha Adam majina ya vitu vyote, kisha akaviweka mbele ya Malaika, na akasema: Niambieni
- Kisha atakurudsheni humo na atakutoeni tena.
- Na wakitoa moto kwa kupiga kwato zao chini,
- Kina A'di walikanusha. Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu?
- Siku ambayo kila nafsi itakuta mema iliyo yafanya yamehudhurishwa, na pia ubaya ilio ufanya. Itapenda
- Wakasema: Tumemuamini Mola Mlezi wa viumbe vyote,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qalam with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qalam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qalam Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب