Surah Tariq aya 9 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يَوْمَ تُبْلَى السَّرَائِرُ﴾
[ الطارق: 9]
Siku zitakapo dhihirishwa siri.
Surah At-Tariq in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
The Day when secrets will be put on trial,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Siku zitakapo dhihirishwa siri.
Siku dhamiri zitapo fanyiwa mtihani, na zitengwe mbali mbali baina ya ziliyo kuwa nzuri na ziliyo kuwa mbovu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kwa hakika hii ni kauli iliyo letwa na Mjumbe mwenye hishima.
- Lakini wakaja baada yao walio wabaya, wakaacha Sala, na wakafuata matamanio. Basi watakuja kuta malipo
- Nenda kwa Firauni. Hakika yeye amezidi jeuri.
- Kwa ajili ya watu wa kuliani.
- Na tukawapa katika ishara zenye majaribio yaliyo wazi.
- Maji yalipo furika Sisi tulikupandisheni katika safina,
- Na wanawake walio achwa wangoje peke yao mpaka t'ahara (au hedhi) tatu zipite. Wala haiwajuzii
- Wale wanao subiri na wakamtegemea Mola wao Mlezi.
- Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu aliye umba mbingu na ardhi, na akafanya giza
- Na walio kanusha Ishara zetu ni viziwi na mabubu waliomo gizani. Mwenyezi Mungu humwachia kupotea
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tariq with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tariq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tariq Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers