Surah Tariq aya 9 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يَوْمَ تُبْلَى السَّرَائِرُ﴾
[ الطارق: 9]
Siku zitakapo dhihirishwa siri.
Surah At-Tariq in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
The Day when secrets will be put on trial,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Siku zitakapo dhihirishwa siri.
Siku dhamiri zitapo fanyiwa mtihani, na zitengwe mbali mbali baina ya ziliyo kuwa nzuri na ziliyo kuwa mbovu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Je! Wenye maradhi nyoyoni mwao wanadhani kwamba Mwenyezi Mungu hatazidhihirisha chuki zao?
- Enyi watu! Unapigwa mfano, basi usikilizeni. Hakika wale mnao waomba badala ya Mwenyezi Mungu, hawatoumba
- Ambaye amekufanyieni ardhi kuwa tandiko, na akakupitishieni humo njia, na akakuteremshieni kutoka mbinguni maji. Na
- Na mkumbuke Mola Mlezi wako nafsini kwako kwa unyenyekevu na khofu, na bila ya kupiga
- Hakika hao wanao kuita nawe uko nyuma ya vyumba, wengi wao hawana akili.
- Hayo ni hivyo kwa sababu mlikuwa akiombwa Mwenyezi Mungu peke yake mnakataa. Na akishirikishwa mnaamini.
- Walikuwa wakilala kidogo tu usiku.
- Basi hakika bila ya shaka hao watayala hayo, na wajaze matumbo.
- Materemsho yatokayo kwa aliye umba ardhi na mbingu zilizo juu.
- Na wakitaka kukukhadaa basi Mwenyezi Mungu atakutosheleza. Kwani Yeye ndiye aliye kuunga mkono kwa nusura
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tariq with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tariq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tariq Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers