Surah Tariq aya 10 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَمَا لَهُ مِن قُوَّةٍ وَلَا نَاصِرٍ﴾
[ الطارق: 10]
Basi hatakuwa na nguvu wala msaidizi.
Surah At-Tariq in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then man will have no power or any helper.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi hatakuwa na nguvu wala msaidizi.
Basi hapana mtu wakati huo ataye kuwa na nguvu ya kujikinga nafsi yake, wala hatakuwa na msaidizi wa kumnusuru.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko,
- Nao hawana ujuzi wowote kwa hayo isipo kuwa wanafuata dhana tu. Na dhana haisaidii chochote
- Hayo ni kwa sababu wameyapenda zaidi maisha ya duniani kuliko ya Akhera, na kwa sababu
- Na pia mashet'ani wanao mpigia mbizi na kufanya kazi nyenginezo. Na Sisi tulikuwa walinzi wao.
- Na tunaye mzeesha tunamrudisha nyuma katika umbo. Basi je! hawazingatii?
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Hakika humo hutakuwa na njaa wala hutakuwa uchi.
- Na tukimwonjesha mtu rehema inayo toka kwetu, kisha tukamwondolea, hukata tamaa akakufuru.
- Hasha! Hakika maandiko ya wakosefu bila ya shaka yamo katika Sijjin.
- Ama anaye kujia kwa juhudi,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tariq with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tariq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tariq Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



