Surah Tariq aya 10 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَمَا لَهُ مِن قُوَّةٍ وَلَا نَاصِرٍ﴾
[ الطارق: 10]
Basi hatakuwa na nguvu wala msaidizi.
Surah At-Tariq in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then man will have no power or any helper.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi hatakuwa na nguvu wala msaidizi.
Basi hapana mtu wakati huo ataye kuwa na nguvu ya kujikinga nafsi yake, wala hatakuwa na msaidizi wa kumnusuru.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Naye atazungumza na watu katika utoto wake na katika utuuzima wake, na atakuwa katika watu
- Naye anaogopa,
- Basi uelekeze uso wako kwenye Dini Iliyo Nyooka kabla ya kufika Siku hiyo isiyo zuilika,
- Kisha tukawafanya kuwa watangulizi na mfano kwa wa baadaye.
- Na wakasema: Sisi tuna mali mengi zaidi na watoto, wala sisi hatutaadhibiwa.
- Na watungaji mashairi ni wapotofu ndio wanawafuata.
- Lakini walikatiana jambo lao mapande mbali mbali. Kila kundi likifurahia kwa waliyo nayo.
- Hakika tuliidhalilisha milima pamoja naye ikisabihi jioni na asubuhi pamoja naye.
- Je! Hakumbuki mwanaadamu ya kwamba tulimuumba kabla, na hali hakuwa chochote?
- Sema: Nionyesheni mlio waunganisha naye kuwa washirika. Hasha! Bali Yeye ndiye Mwenyezi Mungu Mwenye nguvu,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tariq with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tariq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tariq Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers