Mutaffifin suresi çevirisi Svahili

  1. Suresi mp3
  2. Başka bir sure
  3. Svahili
Kuranı Kerim türkçe meali | Kur'an çevirileri | Svahili dili | Mutaffifin Suresi | المطففين - Ayet sayısı 36 - Moshaf'taki surenin numarası: 83 - surenin ingilizce anlamı: The Dealers in Fraud - The Cheats.

وَيْلٌ لِّلْمُطَفِّفِينَ(1)

 Ole wao hao wapunjao!

الَّذِينَ إِذَا اكْتَالُوا عَلَى النَّاسِ يَسْتَوْفُونَ(2)

 Ambao wanapo jipimia kwa watu hudai watimiziwe.

وَإِذَا كَالُوهُمْ أَو وَّزَنُوهُمْ يُخْسِرُونَ(3)

 Na wao wanapo wapimia watu kwa kipimo au mizani hupunguza.

أَلَا يَظُنُّ أُولَٰئِكَ أَنَّهُم مَّبْعُوثُونَ(4)

 Kwani hawadhani hao kwamba watafufuliwa

لِيَوْمٍ عَظِيمٍ(5)

 Katika Siku iliyo kuu,

يَوْمَ يَقُومُ النَّاسُ لِرَبِّ الْعَالَمِينَ(6)

 Siku watapo msimamia watu Mola Mlezi wa walimwengu wote?

كَلَّا إِنَّ كِتَابَ الْفُجَّارِ لَفِي سِجِّينٍ(7)

 Hasha! Hakika maandiko ya wakosefu bila ya shaka yamo katika Sijjin.

وَمَا أَدْرَاكَ مَا سِجِّينٌ(8)

 Unajua nini Sijjin?

كِتَابٌ مَّرْقُومٌ(9)

 Kitabu kilicho andikwa.

وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ(10)

 Ole wao siku hiyo kwa wanao kadhibisha!

الَّذِينَ يُكَذِّبُونَ بِيَوْمِ الدِّينِ(11)

 Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo.

وَمَا يُكَذِّبُ بِهِ إِلَّا كُلُّ مُعْتَدٍ أَثِيمٍ(12)

 Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi.

إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ آيَاتُنَا قَالَ أَسَاطِيرُ الْأَوَّلِينَ(13)

 Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!

كَلَّا ۖ بَلْ ۜ رَانَ عَلَىٰ قُلُوبِهِم مَّا كَانُوا يَكْسِبُونَ(14)

 Hasha! Bali yametia kutu juu ya nyoyo zao hao walio kuwa wakiyachuma.

كَلَّا إِنَّهُمْ عَن رَّبِّهِمْ يَوْمَئِذٍ لَّمَحْجُوبُونَ(15)

 Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi.

ثُمَّ إِنَّهُمْ لَصَالُو الْجَحِيمِ(16)

 Kisha wataingia Motoni!

ثُمَّ يُقَالُ هَٰذَا الَّذِي كُنتُم بِهِ تُكَذِّبُونَ(17)

 Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha.

كَلَّا إِنَّ كِتَابَ الْأَبْرَارِ لَفِي عِلِّيِّينَ(18)

 Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila ya shaka yamo katika I'liyyin.

وَمَا أَدْرَاكَ مَا عِلِّيُّونَ(19)

 Na nini kitakacho kujuvya nini I'liyyin?

كِتَابٌ مَّرْقُومٌ(20)

 Kitabu kilicho andikwa.

يَشْهَدُهُ الْمُقَرَّبُونَ(21)

 Wanakishuhudia walio karibishwa.

إِنَّ الْأَبْرَارَ لَفِي نَعِيمٍ(22)

 Hakika watu wema bila ya shaka watakuwa katika neema.

عَلَى الْأَرَائِكِ يَنظُرُونَ(23)

 Wakae juu ya viti vya enzi wakiangalia.

تَعْرِفُ فِي وُجُوهِهِمْ نَضْرَةَ النَّعِيمِ(24)

 Utatambua katika nyuso zao mng'aro wa neema,

يُسْقَوْنَ مِن رَّحِيقٍ مَّخْتُومٍ(25)

 Watanyweshwa kinywaji safi kiliyo tiwa muhuri,

خِتَامُهُ مِسْكٌ ۚ وَفِي ذَٰلِكَ فَلْيَتَنَافَسِ الْمُتَنَافِسُونَ(26)

 Muhuri wake ni miski. Na katika hayo washindanie wenye kushindana.

وَمِزَاجُهُ مِن تَسْنِيمٍ(27)

 Na mchanganyiko wake ni Tasniim,

عَيْنًا يَشْرَبُ بِهَا الْمُقَرَّبُونَ(28)

 Chemchem watakayo inywa walio kurubishwa.

إِنَّ الَّذِينَ أَجْرَمُوا كَانُوا مِنَ الَّذِينَ آمَنُوا يَضْحَكُونَ(29)

 Kwa hakika wale walio kuwa wakosefu walikuwa wakiwacheka walio amini.

وَإِذَا مَرُّوا بِهِمْ يَتَغَامَزُونَ(30)

 Na wanapo pita karibu yao wakikonyezana.

وَإِذَا انقَلَبُوا إِلَىٰ أَهْلِهِمُ انقَلَبُوا فَكِهِينَ(31)

 Na wanapo rudi kwa watu wao hurudi nao wamefurahi.

وَإِذَا رَأَوْهُمْ قَالُوا إِنَّ هَٰؤُلَاءِ لَضَالُّونَ(32)

 Na wanapo waona husema: Hakika hawa ndio khasa walio potea.

وَمَا أُرْسِلُوا عَلَيْهِمْ حَافِظِينَ(33)

 Na wao hawakutumwa wawe walinzi juu yao.

فَالْيَوْمَ الَّذِينَ آمَنُوا مِنَ الْكُفَّارِ يَضْحَكُونَ(34)

 Basi leo walio amini ndio watawacheka makafiri,

عَلَى الْأَرَائِكِ يَنظُرُونَ(35)

 Nao wako juu ya viti vya enzi wakiangalia.

هَلْ ثُوِّبَ الْكُفَّارُ مَا كَانُوا يَفْعَلُونَ(36)

 Je! makafiri wamelipwa malipo ya yale waliyo kuwa wakiyatenda?


Svahili diğer sureler:

Bakara suresi Âl-i İmrân Nisâ suresi
Mâide suresi Yûsuf suresi İbrâhîm suresi
Hicr suresi Kehf suresi Meryem suresi
Hac suresi Kasas suresi Ankebût suresi
As-Sajdah Yâsîn suresi Duhân suresi
fetih suresi Hucurât suresi Kâf suresi
Necm suresi Rahmân suresi vakıa suresi
Haşr suresi Mülk suresi Hâkka suresi
İnşikâk suresi Alâ suresi Gâşiye suresi

En ünlü okuyucuların sesiyle Mutaffifin Suresi indirin:

Surah Al-Mutaffifin mp3: yüksek kalitede dinlemek ve indirmek için okuyucuyu seçerek
Mutaffifin Suresi Ahmed El Agamy
Ahmed El Agamy
Mutaffifin Suresi Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Mutaffifin Suresi Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Mutaffifin Suresi Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Mutaffifin Suresi Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Mutaffifin Suresi Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Mutaffifin Suresi Ali Al Hudhaifi
Ali Al Hudhaifi
Mutaffifin Suresi Fares Abbad
Fares Abbad
Mutaffifin Suresi Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Mutaffifin Suresi Muhammad Jibril
Muhammad Jibril
Mutaffifin Suresi Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Mutaffifin Suresi Al Hosary
Al Hosary
Mutaffifin Suresi Al-afasi
Mishari Al-afasi
Mutaffifin Suresi Nasser Al Qatami
Nasser Al Qatami
Mutaffifin Suresi Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, May 10, 2024

Bizim için dua et, teşekkürler