Surah Mutaffifin aya 14 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Mutaffifin aya 14 in arabic text(The Dealers in Fraud - The Cheats).
  
   

﴿كَلَّا ۖ بَلْ ۜ رَانَ عَلَىٰ قُلُوبِهِم مَّا كَانُوا يَكْسِبُونَ
[ المطففين: 14]

Hasha! Bali yametia kutu juu ya nyoyo zao hao walio kuwa wakiyachuma.

Surah Al-Mutaffifin in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


No! Rather, the stain has covered their hearts of that which they were earning.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hasha! Bali yametia kutu juu ya nyoyo zao hao walio kuwa wakiyachuma.


Ewe uliye kiuka mipaka! Wacha kauli hiyo potovu. Bali nyoyo za wenye kupindukia mipaka imegubikwa na ukafiri na maasi waliyo yatenda.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 14 from Mutaffifin


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na hatukukutuma ila kwa watu wote, uwe mbashiri, na mwonyaji. Lakini watu wengi hawajui.
  2. Na hakika Mola wako Mlezi ndiye atakaye wakusanya. Hakika Yeye ni Mwenye hikima na Mjuzi.
  3. Hakika wale walio amini na wakatenda mema mashukio yao yatakuwa kwenye Pepo za Firdausi.
  4. Mwenyezi Mungu amewatengenezea Bustani zipitazo mito kati yake, wadumu humo. Huko ndiko kufuzu kukubwa.
  5. Mwenyezi Mungu hakuadhibuni mkimshukuru na mkamuamini. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kupokea shukrani na ndiye
  6. Na Yeye ndiye aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita. Na Kiti chake cha
  7. Hakika katika haya ipo Ishara, lakini wengi wao hawakuwa wenye kuamini.
  8. Sisi tunajua kabisa wayasemayo. Wala wewe si mwenye kuwatawalia kwa ujabari. Basi mkumbushe kwa Qur'ani
  9. Na anaye fanya mema, akiwa mwanamume au mwanamke, naye ni Muumini - basi hao wataingia
  10. Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Mutaffifin with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Mutaffifin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mutaffifin Complete with high quality
Surah Mutaffifin Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Mutaffifin Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Mutaffifin Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Mutaffifin Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Mutaffifin Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Mutaffifin Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Mutaffifin Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Mutaffifin Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Mutaffifin Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Mutaffifin Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Mutaffifin Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Mutaffifin Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Mutaffifin Al Hosary
Al Hosary
Surah Mutaffifin Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Mutaffifin Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, December 15, 2025

Please remember us in your sincere prayers