Surah Mutaffifin aya 32 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِذَا رَأَوْهُمْ قَالُوا إِنَّ هَٰؤُلَاءِ لَضَالُّونَ﴾
[ المطففين: 32]
Na wanapo waona husema: Hakika hawa ndio khasa walio potea.
Surah Al-Mutaffifin in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And when they saw them, they would say, "Indeed, those are truly lost."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wanapo waona husema: Hakika hawa ndio khasa walio potea.
Na wakiwaona Waumini husema: Ama hakika hawa wamepotea kweli kwa kumuamini Muhammad.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa mbingu, na Mola Mlezi
- Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!
- Anaye ongoka basi anaongoka kwa ajili ya nafsi yake. Na anaye potea basi anapotea kwa
- Na kwa hakika wapumbavu miongoni mwetu walikuwa wakisema uwongo ulio pindukia mipaka juu ya Mwenyezi
- Na mfano wa walio kufuru ni kama mfano wa anaye mpigia kelele asiye sikia ila
- Na milima itakuwa kama sufi.
- Hakika Mwenyezi Mungu yu pamoja na wenye kumcha, na watendao mema.
- Na wakisema: Hata ukituletea Ishara yoyote kutuzuga hatuto kuamini.
- Na kwa yakini tumeisarifu kati yao wapate kukumbuka. Lakini watu wengi wanakataa ila kukufuru.
- Bila ya shaka itakuwa tumemzulia uwongo Mwenyezi Mungu tukirudi katika mila yenu baada ya kwisha
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Mutaffifin with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Mutaffifin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mutaffifin Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



