Surah Mutaffifin aya 35 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿عَلَى الْأَرَائِكِ يَنظُرُونَ﴾
[ المطففين: 35]
Nao wako juu ya viti vya enzi wakiangalia.
Surah Al-Mutaffifin in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
On adorned couches, observing.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Nao wako juu ya viti vya enzi wakiangalia.
Ilhali wako juu ya vitanda na matakia watakuwa Waumini wakiziangalia neema za Mwenyezi Mungu alizo wapa.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakukuwa ila ukelele mmoja tu; na mara walizimwa!
- Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
- Wala hawana uwezo wa kuwanusuru wala wenyewe hawajinusuru.
- Yusuf! Wachilia mbali haya. Na wewe, mwanamke, omba msamaha kwa dhambi zako. Kwa hakika wewe
- Wingi wao huu utashindwa, na wao watasukumwa nyuma.
- Kwa kosa gani aliuliwa?
- Na tukawaachia (sifa njema) katika watu walio kuja baadaye.
- Lakini nyoyo zao zimeghafilika na hayo, na wanavyo vitendo vinginevyo wanavyo vifanya.
- Na watungaji mashairi ni wapotofu ndio wanawafuata.
- Nini faida ya kukumbuka kwao? Na alikwisha wafikia Mtume mwenye kubainisha.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Mutaffifin with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Mutaffifin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mutaffifin Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



