Surah Mutaffifin aya 13 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ آيَاتُنَا قَالَ أَسَاطِيرُ الْأَوَّلِينَ﴾
[ المطففين: 13]
Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!
Surah Al-Mutaffifin in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
When Our verses are recited to him, he says, "Legends of the former peoples."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!
Na akisomewa Aya za Mwenyezi Mungu zenye kutaja kuwepo malipo husema: Huo ni uwongo wa walio tangulia!
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na hakika tumeisahilisha Qur'ani kuikumbuka. Lakini yupo anaye kumbuka?
- Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Mwenyezi Mungu na Mtume. Basi mcheni Mwenyezi
- Enyi waja wangu! Hamtakuwa na khofu siku hiyo, wala hamtahuzunika.
- Na hatukuwateremshia kaumu yake baada yake jeshi kutoka mbinguni, wala si wenye kuteremsha.
- Na Ibrahim pale alipo waambia watu wake: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na mcheni Yeye. Hiyo ndiyo
- Kisha tutawaokoa wale walio mchamngu; na tutawaacha madhaalimu humo wamepiga magoti.
- Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
- Wakasema: Tunaabudu masanamu, daima tunayanyenyekea.
- Siku hiyo ndio Tukio litatukia.
- Na wapo miongoni mwao wanao kusikiliza, mpaka wakiondoka kwako huwauliza walio pewa ilimu: Amesema nini
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Mutaffifin with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Mutaffifin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mutaffifin Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



