Surah Mutaffifin aya 34 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَالْيَوْمَ الَّذِينَ آمَنُوا مِنَ الْكُفَّارِ يَضْحَكُونَ﴾
[ المطففين: 34]
Basi leo walio amini ndio watawacheka makafiri,
Surah Al-Mutaffifin in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So Today those who believed are laughing at the disbelievers,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi leo walio amini ndio watawacheka makafiri,
Basi Siku ya Malipo walio amini watakuwa ndio wa kuwacheka hao makafiri kwa kuwalipizia kile kicheko chao na kejeli yao ya duniani.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Waseme: Tulikuwa zamani pamoja na ahali zetu tukiogopa;
- Na wamechukua badala yake miungu ambayo haiumbi chochote, bali hiyo inaumbwa, haijimilikii nafsi zao madhara
- Na uwape khabari za wageni wa Ibrahim.
- Wakasema: Malipo yake ni yule ambaye ataonekana nalo yeye huyo ndiye malipo yake. Hivi ndivyo
- Nendeni kwa Firauni. Hakika yeye amepindukia mipaka.
- Bali lawama ipo kwa wale wanao wadhulumu watu, na wanafanya jeuri katika nchi bila ya
- Na tukaweka katika ardhi milima iliyo thibiti ili isiwayumbishe, na tukaweka humo njia pana ili
- Ukelele ukawatwaa wakipambaukiwa.
- Siku ambayo mbingu zitakapo kuwa kama maadeni iliyo yayushwa.
- Ila mkewe. Tunakadiria huyo atakuwa miongoni watao bakia nyuma.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Mutaffifin with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Mutaffifin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mutaffifin Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



