Surah Ahqaf aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ahqaf aya 6 in arabic text(The Sand-Dunes).
  
   

﴿وَإِذَا حُشِرَ النَّاسُ كَانُوا لَهُمْ أَعْدَاءً وَكَانُوا بِعِبَادَتِهِمْ كَافِرِينَ﴾
[ الأحقاف: 6]

Na ambao watu watakapo kusanywa watakuwa maadui zao, na wataikataa ibada yao.

Surah Al-Ahqaaf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And when the people are gathered [that Day], they [who were invoked] will be enemies to them, and they will be deniers of their worship.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na ambao watu watakapo kusanywa watakuwa maadui zao, na wataikataa ibada yao.


Na watu wakikusanywa kwa ajili ya hisabu Siku ya Kiyama hawa wanao abudiwa kwa upotovu watakuwa ndio maadui wa walio kuwa wakiabudu, na watajitenga nao, na kuwakadhibisha kwa madai yao kwamba wao wanastahiki kuabudiwa. (Katika Injili ya Mathayo inasimuliwa wazi vipi Nabii Isa a.s. atavyo wakataa Wakristo wanao muabudu yeye. Tazama Mathayo 7.22-23. Yesu anasema: -Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.-)

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 6 from Ahqaf


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Ahqaf with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Ahqaf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ahqaf Complete with high quality
    Surah Ahqaf Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Ahqaf Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Ahqaf Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Ahqaf Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Ahqaf Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Ahqaf Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Ahqaf Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Ahqaf Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Ahqaf Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Ahqaf Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Ahqaf Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Ahqaf Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Ahqaf Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Ahqaf Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Ahqaf Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Wednesday, June 25, 2025

    Please remember us in your sincere prayers