Surah Anam aya 54 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Anam aya 54 in arabic text(The Cattle).
  
   

﴿وَإِذَا جَاءَكَ الَّذِينَ يُؤْمِنُونَ بِآيَاتِنَا فَقُلْ سَلَامٌ عَلَيْكُمْ ۖ كَتَبَ رَبُّكُمْ عَلَىٰ نَفْسِهِ الرَّحْمَةَ ۖ أَنَّهُ مَنْ عَمِلَ مِنكُمْ سُوءًا بِجَهَالَةٍ ثُمَّ تَابَ مِن بَعْدِهِ وَأَصْلَحَ فَأَنَّهُ غَفُورٌ رَّحِيمٌ
[ الأنعام: 54]

Na wanapo kujia wanao ziamini Ishara zetu waambie: Assalamu alaikum! Amani iwe juu yenu! Mola wenu Mlezi amejilazimisha rehema, ya kwamba atakaye fanya uovu miongoni mwenu kwa ujinga, kisha akatubu baada yake na akatengenea, basi hakika Yeye ni Mwenye maghfira na Mwenye kurehemu.

Surah Al-Anam in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And when those come to you who believe in Our verses, say, "Peace be upon you. Your Lord has decreed upon Himself mercy: that any of you who does wrong out of ignorance and then repents after that and corrects himself - indeed, He is Forgiving and Merciful."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na wanapo kujia wanao ziamini Ishara zetu waambie: Assalamu alaikum! Amani iwe juu yenu! Mola wenu Mlezi amejilazimisha rehema, ya kwamba atakaye fanya uovu miongoni mwenu kwa ujinga, kisha akatubu baada yake na akatengenea, basi hakika Yeye ni Mwenye maghfira na Mwenye kurehemu.


Na wakikujia wanao isadiki Qurani waambie kwa kuwahishimu: Assalamu Alaikum, Amani juu yenu. Nakubashirieni rehema kunjufu ya Mwenyezi Mungu, ambayo amejilazimisha Yeye Mwenyewe, kwa fadhila yake, na ambayo inahukumu kuwa yeyote katika nyinyi akitenda ubaya bila ya kuzingatia matokeo yake, kisha akarejea kwa Mwenyezi Mungu naye amejuta, ametubu, na akatengeneza amali zake, basi Mwenyezi Mungu atamghufiria, kwani Mwenyezi Mungu ni mwingi wa maghfira, na mkunjufu wa rehema.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 54 from Anam


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Anam with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Anam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anam Complete with high quality
    Surah Anam Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Anam Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Anam Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Anam Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Anam Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Anam Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Anam Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Anam Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Anam Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Anam Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Anam Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Anam Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Anam Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Anam Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Anam Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, April 8, 2025

    Please remember us in your sincere prayers