Surah Qaf aya 41 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَاسْتَمِعْ يَوْمَ يُنَادِ الْمُنَادِ مِن مَّكَانٍ قَرِيبٍ﴾
[ ق: 41]
Na sikiliza siku atapo nadi mwenye kunadi kutoka pahala karibu.
Surah Qaf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And listen on the Day when the Caller will call out from a place that is near -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na sikiliza siku atapo nadi mwenye kunadi kutoka pahala karibu.
Na sikiliza khabari ninazo kwambia katika hadithi za Kiyama kwani shani yake ni kubwa. Siku atapo nadi Malaika wa kunadi kutoka pahala pa karibu na hao wanao itwa.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na Musa alisema: Ewe Firauni! Hakika mimi ni Mtume nitokaye kwa Mola Mlezi wa viumbe
- Ili wabebe mizigo yao kwa ukamilifu Siku ya Kiyama, na sehemu ya mizigo ya wale
- Na watungaji mashairi ni wapotofu ndio wanawafuata.
- Je! Hazikuwa Aya zangu mkisomewa, na nyinyi mkizikanusha?
- Basi alipo ufikia aliitwa kutoka ng'ambo ya bonde la kuliani katika eneo lilio barikiwa kutoka
- Akaitupa. Mara ikawa nyoka anaye kwenda mbio.
- Na wanapo sikia upuuzi hujitenga nao na husema: Sisi tuna vitendo vyetu, na nyinyi mna
- Si dhambi juu ya walio amini na wakatenda mema kwa walivyo vila (zamani) maadamu wakichamngu
- Anaye kadhibisha na kupa mgongo.
- Basi ingoje siku ambayo mbingu zitakapo leta moshi ulio dhaahiri,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qaf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qaf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qaf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers