Surah Al Qamar aya 35 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿نِّعْمَةً مِّنْ عِندِنَا ۚ كَذَٰلِكَ نَجْزِي مَن شَكَرَ﴾
[ القمر: 35]
Kwa neema inayo toka kwetu. Hivyo ndivyo tumlipavyo anaye shukuru.
Surah Al-Qamar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
As favor from us. Thus do We reward he who is grateful.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwa neema inayo toka kwetu. Hivyo ndivyo tumlipavyo anaye shukuru.
Kwa kuwapa neema iliyo toka kwetu. Neema kama hizo kubwa kubwa ndivyo tunavyo walipa wenye kuishukuru neema yetu kwa imani yao na utiifu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na wataambiwa: Wako wapi mlio kuwa mkiwaabudu
- Sema: Hapana katika mbingu na ardhi ajuaye ya ghaibu isipo kuwa Mwenyezi Mungu. Wala wao
- (Firauni) akasema: Sisi hatukukulea wewe utotoni, na ukakaa kwetu katika umri wako miaka mingi?
- Na ulifungue fundo lililo katika ulimi wangu,
- Na uwe kutokana na nyinyi umma unao lingania kheri na unao amrisha mema na unakataza
- Na ikasemwa: Ewe ardhi! Meza maji yako. Na Ewe mbingu! Jizuie. Basi maji yakadidimia chini,
- Hakika wao ndio waharibifu, lakini hawatambui.
- Na tulimwokoa yeye na ahali zake kutokana na msiba mkubwa.
- Na mwenye kuogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi atapata Bustani mbili.
- Na kwa Madyana tulimtuma ndugu yao Shuaibu, naye akasema: Enyi watu wangu! Muabuduni Mwenyezi Mungu
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Qamar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Qamar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Qamar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers