Surah Takathur aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Takathur aya 1 in arabic text(The Piling Up - Competition - Greed for More and More).
  
   

﴿أَلْهَاكُمُ التَّكَاثُرُ﴾
[ التكاثر: 1]

Kumekushughulisheni kutafuta wingi,

Surah At-Takathur in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Competition in [worldly] increase diverts you


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kumekushughulisheni kutafuta wingi,


Yamekushughulisheni mkaacha kutimiza yaliyo waajibu na ya utiifu kule kujitapa kwenu kwa wana na wafwasi, na kujifakhiri kwa mali, na hisabu, na nasaba, mpaka yakusibuni mauti!

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 1 from Takathur


Ayats from Quran in Swahili

  1. Wale wanao fadhilisha maisha ya dunia kuliko Akhera, na wanawazuilia watu wasifuate Njia ya Mwenyezi
  2. Wakifurahi kwa yale aliyo wapa Mola wao Mlezi. Na Mola wao Mlezi atawalinda na adhabu
  3. Akasema: Afriti, katika majini: Mimi nitakuletea kabla hujainuka pahala pako hapo. Na mimi kwa hakika
  4. Sema: Hakika mimi nimeamrishwa nimuabudu Mwenyezi Mungu kwa kumsafishia Dini Yeye tu.
  5. Na Ibrahim pale alipo waambia watu wake: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na mcheni Yeye. Hiyo ndiyo
  6. Na atakaye wageuzia mgongo wake siku hiyo - isipo kuwa kwa mbinu za vita au
  7. Nami najitenga nanyi na hayo mnayo yaabudu badala ya Mwenyezi Mungu. Na ninamwomba Mola wangu
  8. Na wanasema: Ahadi hii itatokea lini, ikiwa mnasema kweli?
  9. Na walio kufuru walisema: Je! Tukujuulisheni mtu anaye kuambieni kwamba mtakapo chambuliwa mapande mapande mtakuwa
  10. Kumwendea Firauni na Hamana na Qaruni, wakasema: Huyu ni mchawi, mwongo mkubwa.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Takathur with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Takathur mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Takathur Complete with high quality
Surah Takathur Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Takathur Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Takathur Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Takathur Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Takathur Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Takathur Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Takathur Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Takathur Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Takathur Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Takathur Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Takathur Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Takathur Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Takathur Al Hosary
Al Hosary
Surah Takathur Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Takathur Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, December 30, 2025

Please remember us in your sincere prayers