Surah Qiyamah aya 36 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَيَحْسَبُ الْإِنسَانُ أَن يُتْرَكَ سُدًى﴾
[ القيامة: 36]
Ati anadhani binaadamu kuwa ataachwa bure?
Surah Al-Qiyamah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Does man think that he will be left neglected?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ati anadhani binaadamu kuwa ataachwa bure?
Hivyo anadhani huyu mtu anaye kanya kufufuliwa kuwa ataachwa hivi hivi akiringa tu katika maisha yake, na akisha kufa iwe basi, wala asifufuliwe akahisabiwa kwa vitendo vyake?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Je, hawatazami ufalme wa mbingu na ardhi, na vitu alivyo viumba Mwenyezi Mungu, na pengine
- Basi wewe yatangaze uliyo amrishwa, na jitenge na washirikina.
- Nao wakalikata jambo lao hili mapande mapande baina yao. Wote watarudi kwetu.
- Wasomee khabari za Nuhu alipo waambia watu wake: Enyi watu wangu! Ikiwa kukaa kwangu nanyi
- Wala usitembee katika ardhi kwa maringo. Hakika wewe huwezi kuipasua ardhi wala kufikia urefu wa
- Na mazulia yaliyo tandikwa.
- Enyi mlio amini! Msimfanyie khiana Mwenyezi Mungu na Mtume, wala msikhini amana zenu, nanyi mnajua.
- Akasema (Nuhu): Mola wangu Mlezi! Ninusuru kwa kuwa wamenikanusha.
- Anataka kukutoeni katika nchi yenu. Basi mnatoa shauri gani?
- Hakika Wewe unatuona.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qiyamah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qiyamah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qiyamah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers