Surah Maarij aya 5 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَاصْبِرْ صَبْرًا جَمِيلًا﴾
[ المعارج: 5]
Basi subiri kwa subira njema.
Surah Al-Maarij in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So be patient with gracious patience.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi subiri kwa subira njema.Hakika wao wanaiona iko mbali!
Basi, ewe Muhammad! Subiri uwastahamilie hizo kejeli zao, na kuhimiza kwao adhabu, kwa subira isiyo kuwa na mbabaiko ndani yake wala mashtaka.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na nimekuteuwa kwa ajili ya nafsi yangu.
- Siku ya Kiyama atawatangulia watu wake na atawaingiza Motoni. Na muingio muovu ulioje huo!
- Akasema: Enyi watu wangu! Kwa nini mnauhimiza uwovu kabla ya wema? Kwa nini hamuombi msamaha
- Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
- Mwenyezi Mungu ni Mpole kwa waja wake. Humruzuku ampendaye. Naye ni Mwenye nguvu, Mtukufu.
- Yusuf! Ewe mkweli! Tueleze nini maana ya ng'ombe saba wanene kuliwa na ng'ombe saba walio
- Je! Hazikuwa Aya zangu mkisomewa, na nyinyi mkizikanusha?
- Na mara ya tano ya kwamba ghadhabu ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake kama mumewe
- Basi atachungulia amwone katikati ya Jahannamu.
- Na wewe si chochote ila ni mtu tu kama sisi, na kwa yakini tunakuona wewe
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maarij with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maarij mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maarij Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers