Surah Hijr aya 74 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hijr aya 74 in arabic text(Al-Hijr City).
  
   

﴿فَجَعَلْنَا عَالِيَهَا سَافِلَهَا وَأَمْطَرْنَا عَلَيْهِمْ حِجَارَةً مِّن سِجِّيلٍ﴾
[ الحجر: 74]

Na tukaigeuza nchi juu chini, na tukawanyeshea mvua ya mawe ya udongo wa Motoni.

Surah Al-Hijr in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And We made the highest part [of the city] its lowest and rained upon them stones of hard clay.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na tukaigeuza nchi juu chini, na tukawanyeshea mvua ya mawe ya udongo wa Motoni.


Mwenyezi Mungu Aliye takasika katekeleza hukumu yake, akasema: Miji yao tukaifanya juu chini kwa kuivuruga, na tukawateremshia udongo ulio fanyika mawe ukiwateremkia kama mvua. Majumba yao yakaporomoka. Na wakitoka nje hukuta hiyo mvua ya mawe. Kwa hivyo wakawa wamezungukwa kila jiha. (upande)

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 74 from Hijr


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hawakuamini kabla yao watu wa mji tulio uangamiza. Basi, je, wataamini hawa?
  2. Wakasema: Mchomeni moto, na muinusuru miungu yenu, ikiwa nyinyi ni watendao jambo!
  3. Hawatakufaeni jamaa zenu, wala watoto wenu Siku ya Kiyama. Mwenyezi Mungu atapambanua baina yenu, na
  4. Naapa kwa jua na mwangaza wake!
  5. Mwenyezi Mungu huiondolea baraka riba, na huzibariki sadaka. Na Mwenyezi Mungu hampendi kila mwenye kukanya
  6. Na wakasema: Kuweni Mayahudi au Wakristo ndio mtaongoka. Sema: Bali tunashika mila ya Ibrahim mwongofu,
  7. Siku itapo wapasukia ardhi mbio mbio! Mkusanyo huo kwetu ni mwepesi.
  8. Hao ambao wanajadiliana katika Ishara za Mwenyezi Mungu pasipo ushahidi wowote ulio wafikia, ni chukizo
  9. Basi alipo fika (mjumbe) kwa Sulaiman, alisema (Sulaiman): Hivyo ndio nyinyi mnanisaidia kwa mali? Aliyo
  10. Kisha akakaribia na akateremka.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Surah Hijr Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Hijr Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Hijr Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Hijr Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Hijr Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Hijr Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Hijr Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Hijr Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Hijr Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Hijr Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Hijr Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Hijr Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Hijr Al Hosary
Al Hosary
Surah Hijr Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Hijr Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, December 26, 2025

Please remember us in your sincere prayers