Surah Jinn aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Jinn aya 1 in arabic text(The Jinn - The Spirits).
  
   

﴿قُلْ أُوحِيَ إِلَيَّ أَنَّهُ اسْتَمَعَ نَفَرٌ مِّنَ الْجِنِّ فَقَالُوا إِنَّا سَمِعْنَا قُرْآنًا عَجَبًا﴾
[ الجن: 1]

Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu!

Surah Al-Jinn in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Say, [O Muhammad], "It has been revealed to me that a group of the jinn listened and said, 'Indeed, we have heard an amazing Qur'an.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qurani ya ajabu!


Ewe Muhammad! Waambie watu wako: Nimepata wahyi kwamba kikundi cha majini kimesikia kusoma kwangu Qurani, nao wakawaambia wenzao: Hakika sisi tumeisikia Qurani ya namna ya peke yake, hatujapata kusikia mfano wake kabla yake,

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 1 from Jinn


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hiyo ndiyo karamu yao Siku ya Malipo.
  2. Siku watapo msimamia watu Mola Mlezi wa walimwengu wote?
  3. Anapo somewa Aya zetu, husema: Hizi ni simulizi za uwongo za watu wa zamani!
  4. Na hao ndio kina A'adi. Walizikanusha Ishara za Mola wao Mlezi, na wakawaasi Mitume wake,
  5. Je! Mwenyezi Mungu si wa kumtosheleza mja wake? Na ati wanakutishia kwa hao wenginewe wasio
  6. Sema: Ni nani anaye kuokoeni katika giza la nchi kavu na baharini? Mnamwomba kwa unyenyekevu
  7. Wakasema: Ikiwa mbwa mwitu atamla na hali sisi ni kundi lenye nguvu kabisa, basi bila
  8. Enyi mlio amini! Subirini, na shindaneni kusubiri, na kuweni macho, na mcheni Mwenyezi Mungu, ili
  9. Na tutaondoa chuki vifuani mwao, na mbele yao iwe inapita mito. Na watasema: Alhamdulillah! Kuhimidiwa
  10. Umekwisha itimiliza ndoto. Hakika hivi ndivyo tunavyo walipa wanao tenda mema.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Jinn with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Jinn mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jinn Complete with high quality
Surah Jinn Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Jinn Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Jinn Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Jinn Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Jinn Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Jinn Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Jinn Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Jinn Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Jinn Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Jinn Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Jinn Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Jinn Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Jinn Al Hosary
Al Hosary
Surah Jinn Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Jinn Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, February 2, 2025

Please remember us in your sincere prayers