Surah Muminun aya 12 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَقَدْ خَلَقْنَا الْإِنسَانَ مِن سُلَالَةٍ مِّن طِينٍ﴾
[ المؤمنون: 12]
Na kwa yakini tumemuumba mtu kutokana na asli ya udongo.
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And certainly did We create man from an extract of clay.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na kwa yakini tumemuumba mtu kutokana na asli ya udongo.
Yawapasa watu waangalie asli ya kuumbwa kwao; kwani hiyo ni dalili za kuonyesha uwezo wetu zenye kupelekea kumuamini Mwenyezi Mungu, na kuamini kufufuliwa. Kwani Sisi tumemuumba mtu kutokana na asli ya udongo.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hutaona humo mdidimio wala muinuko.
- Au wao wana ufalme wa mbingu na ardhi na viliomo kati yao? Basi nawazipande njia
- Nendeni kwenye kivuli chenye mapande matatu!
- Sisi tumewakhusisha wao kwa sifa ya ukumbusho wa Akhera.
- Lakini Firauni alimuasi huyo Mtume, basi tukamshika mshiko wa mateso.
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Ukiwang'oa watu kama vigogo vya mitende vilio ng'olewa.
- Kwa hakika wale wasio iamini Akhera tumewapambia vitendo vyao, kwa hivyo wanatangatanga ovyo.
- H'a Mim
- Kwa hakika wanao rudi nyuma baada ya kwisha wabainikia uwongofu, Shetani huyo amewashawishi na amewaghuri.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



