Surah Araf aya 100 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Araf aya 100 in arabic text(The Heights).
  
   
ayat 100 from Surah Al-Araf

﴿أَوَلَمْ يَهْدِ لِلَّذِينَ يَرِثُونَ الْأَرْضَ مِن بَعْدِ أَهْلِهَا أَن لَّوْ نَشَاءُ أَصَبْنَاهُم بِذُنُوبِهِمْ ۚ وَنَطْبَعُ عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ فَهُمْ لَا يَسْمَعُونَ
[ الأعراف: 100]

Je, hawahidiki hawa wanao rithi ardhi baada ya wale wenyewe kwamba tukitaka tutawapatiliza kwa madhambi yao, na tutapiga muhuri juu ya nyoyo zao, na kwa hivyo hawatasikia?

Surah Al-Araf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Has it not become clear to those who inherited the earth after its [previous] people that if We willed, We could afflict them for their sins? But We seal over their hearts so they do not hear.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Je, hawahidiki hawa wanao rithi ardhi baada ya wale wenyewe kwamba tukitaka tutawapatiliza kwa madhambi yao, na tutapiga muhuri juu ya nyoyo zao, na kwa hivyo hawatasikia?.


Je, hawaujui mwendo wa Mwenyezi Mungu kwa kaumu zilizo kwisha pita kabla yao, na kuwa shani yetu kwao ni kama ilivyo kuwa kwa walio watangulia? Na kwamba wao lazima wafuate tuyatakayo. Tukitaka kuwaadhibu kwa sababu ya madhambi yao tutawapatiliza kama tulivyo wapatiliza walio kama wao. Nasi tunatia muhuri nyoyo zao kwa kuwa zimeharibika bila ya kiasi, mpaka ikafika ukomo kuwa hazipokei tena uwongofu. Kwa muhuri huo imekuwa hawasikii hikima wala nasiha, kwa msikio wa kufahamu na kuwaidhika.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 100 from Araf


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Araf with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Araf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Araf Complete with high quality
    Surah Araf Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Araf Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Araf Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Araf Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Araf Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Araf Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Araf Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Araf Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Araf Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Araf Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Araf Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Araf Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Araf Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Araf Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Araf Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, June 24, 2025

    Please remember us in your sincere prayers