Surah Hijr aya 81 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَآتَيْنَاهُمْ آيَاتِنَا فَكَانُوا عَنْهَا مُعْرِضِينَ﴾
[ الحجر: 81]
Na tuliwapa ishara zetu, nao wakazipuuza.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And We gave them Our signs, but from them they were turning away.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na tuliwapa ishara zetu, nao wakazipuuza.
Tuliwabainishia hoja zenye kuonyesha uwezo wetu, na Utume wa Mtume wetu, nao wakayapuuza, wala wasiyafikiri.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na fungu kubwa katika wa mwisho.
- Zitajua ya kuwa zitafikiwa na livunjalo uti wa mgongo.
- Hukitoa kilicho hai kutokana na kilicho kufa, na hukitoa kilicho kufa kutokana na kilicho hai.
- Na ambao wanapo fanyiwa jeuri hujitetea.
- Kinga maovu kwa kutenda yaliyo mema zaidi. Sisi tunajua wayasemayo.
- Na hatukuuangamiza mji wowote ule ila ulikuwa na muda wake maalumu.
- Sema: Njooni nikusomeeni aliyo kuharimishieni Mola wenu Mlezi. Nayo ni kuwa, msimshirikishe Yeye na chochote.
- Enyi mlio amini! Mmeandikiwa Saumu, kama waliyo andikiwa walio kuwa kabla yenu ili mpate kuchamngu.
- HUENDA ikawa walio kufuru wakatamani wange kuwa Waislamu.
- Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa Shahidi baina yangu na nyinyi. Hakika Yeye anawajua vyema waja
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers