Surah Al Balad aya 11 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَلَا اقْتَحَمَ الْعَقَبَةَ﴾
[ البلد: 11]
Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.
Surah Al-Balad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
But he has not broken through the difficult pass.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.
Basi huyo hakunafiika kwa tuliyo mtengenezea, wala hakuivuka njia ya milimani inayo mzuia asifikie uwokovu, nayo ni choyo wa nafsi yake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na mkiwaita kwenye uwongofu hawasikii. Na unawaona wanakutazama, nao hawaoni.
- Tena Mola wake Mlezi akampokea kwa mapokeo mema na akamkuza makuzo mema, na akamfanya Zakariya
- Basi kwa haya waite! Nawe simama sawa sawa kama ulivyo amrishwa, wala usiyafuate matamanio yao.
- Kwa ajili ya watu wa kuliani.
- Lakini walio kufuru wamo katika majivuno na upinzani
- Kisha tukawazamisha hao wengine.
- Wakasema: Ole wetu! Tulikuwa tumeikiuka mipaka!
- Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
- Basi usimdhanie Mwenyezi Mungu kuwa ni mwenye kuwavunjia ahadi yake Mitume wake. Hakika Mwenyezi Mungu
- Anajua yanayo ingia katika ardhi na yanayo toka humo, na yanayo teremka kutoka mbinguni, na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Balad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Balad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Balad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers