Surah Al Balad aya 11 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَلَا اقْتَحَمَ الْعَقَبَةَ﴾
[ البلد: 11]
Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.
Surah Al-Balad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
But he has not broken through the difficult pass.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.
Basi huyo hakunafiika kwa tuliyo mtengenezea, wala hakuivuka njia ya milimani inayo mzuia asifikie uwokovu, nayo ni choyo wa nafsi yake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hao ndio wanao sema: Msitoe mali kwa ajili ya walioko kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu,
- Na katika ardhi vimo vipande vilivyo karibiana, na zipo bustani za mizabibu, na mimea mingine,
- Wala hamhimizani kulisha masikini;
- Na wakaomba ushindi, na akashindwa kila jabari mkaidi,
- Na tukautia nguvu ufalme wake, na tukampa hikima, na kukata hukumu.
- Ufalme wa mbingu na ardhi ni wake. Na mambo yote yanarejeshwa kwa Mwenyezi Mungu.
- Naye ni Mwenye kusamehe, Mwenye mapenzi,
- (Nao watasema:) Wala hatuteremki ila kwa amri ya Mola wako Mlezi. Ni yake Yeye yaliyoko
- Hakika ni juu yetu kuukusanya na kuusomesha.
- Ili Mwenyezi Mungu awafutie ukomo wa uovu walio ufanya na awalipe ujira wao kwa mujibu
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Balad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Balad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Balad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers