Surah Al Balad aya 11 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَلَا اقْتَحَمَ الْعَقَبَةَ﴾
[ البلد: 11]
Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.
Surah Al-Balad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
But he has not broken through the difficult pass.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.
Basi huyo hakunafiika kwa tuliyo mtengenezea, wala hakuivuka njia ya milimani inayo mzuia asifikie uwokovu, nayo ni choyo wa nafsi yake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Au mmeaminisha ya kuwa hatakurudisheni humo mara nyengine na kukupelekeeni kimbunga cha upepo akakuzamisheni kwa
- Na fuata uliyo funuliwa kwa wahyi kutokana na Mola wako Mlezi. Hakika Mwenyezi Mungu anazo
- Si vibaya kwenu kuitafuta fadhila ya Mola wenu Mlezi. Na mtakapo miminika kutoka A'rafat mtajeni
- Na ambao wanahifadhi tupu zao.
- Sema: Yeye ndiye aliye kutawanyeni katika ardhi, na kwake mtakusanywa.
- Mnadhani kuwa mtaingia Peponi, bila ya kukujieni kama yaliyo wajia wale walio pita kabla yenu?
- Mola wako Mlezi alipo wafunulia Malaika: Hakika Mimi ni pamoja nanyi, basi watieni nguvu walio
- Sema: Iaminini au msiiamini. Hakika wale walio pewa ilimu kabla yake, wanapo somewa hii, huanguka
- Basi uelekeze uso wako sawasawa kwenye Dini - ndilo umbile la Mwenyezi Mungu alilo waumbia
- Na Waonyaji waliwafikia watu wa Firauni.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Balad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Balad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Balad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers