Surah Al Balad aya 11 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَلَا اقْتَحَمَ الْعَقَبَةَ﴾
[ البلد: 11]
Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.
Surah Al-Balad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
But he has not broken through the difficult pass.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.
Basi huyo hakunafiika kwa tuliyo mtengenezea, wala hakuivuka njia ya milimani inayo mzuia asifikie uwokovu, nayo ni choyo wa nafsi yake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- La! Hajamaliza aliyo muamuru.
- Ni nyinyi mlio uumba mti wake au Sisi ndio Waumbaji?
- Ewe Nabii! Waambie wake zako, na binti zako, na wake za Waumini wajiteremshie nguo zao.
- Basi wakitubu na wakashika Sala na wakatoa Zaka, basi ni ndugu zenu katika Dini. Na
- Mwenyezi Mungu amezaa! Ama hakika bila ya shaka hao ni waongo!
- Na hawa hawangojei ila ukelele mmoja tu usio na muda.
- Hiyo ndiyo karamu yao Siku ya Malipo.
- Hakika Mwenyezi Mungu hawadhulumu watu kitu chochote; lakini watu wenyewe wanajidhulumu nafsi zao.
- Kila khabari ina kipindi chake. Nanyi mtakuja jua.
- Na waonye kwayo wanao ogopa kuwa watakusanywa kwa Mola wao Mlezi, hali kuwa hawana mlinzi
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Balad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Balad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Balad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب