Surah Najm aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِذْ يَغْشَى السِّدْرَةَ مَا يَغْشَىٰ﴾
[ النجم: 16]
Kilipo ufunika huo Mkunazi hicho kilicho ufunuika.
Surah An-Najm in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
When there covered the Lote Tree that which covered [it].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kilipo ufunika huo Mkunazi hicho kilicho ufunuika.
Vikafunikwa na kuzibwa, kwa fadhila ya Mwenyezi Mungu, visio weza kuelezwa.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wakasema: Mola wetu Mlezi anajua kwamba hakika sisi tumetumwa kwenu.
- Na utawaona wengi katika wao wanakimbilia kwenye dhambi, na uadui, na ulaji wao vya haramu.
- Humo watataka kila aina ya matunda, na wakae kwa amani.
- Na watu wake wakamhoji. Akasema: Je, mnanihoji juu ya Mwenyezi Mungu, na hali Yeye ameniongoa?
- Yeye ndiye anaye fufua na anaye fisha. Na kwake mtarejeshwa.
- Je! Hawakusafiri katika ardhi wakaona vipi ulikuwa mwisho wa walio kuwa kabla yao? Na hao
- Enyi mlio amini! Msimfanyie khiana Mwenyezi Mungu na Mtume, wala msikhini amana zenu, nanyi mnajua.
- Na hatukukutuma ila kwa watu wote, uwe mbashiri, na mwonyaji. Lakini watu wengi hawajui.
- Wanazijua neema za Mwenyezi Mungu, kisha wanazikanusha; na wengi wao ni makafiri.
- Na yakwamba wale wasio iamini Akhera tumewaandalia adhabu chungu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Najm with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Najm mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Najm Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



