Surah Hud aya 122 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَانتَظِرُوا إِنَّا مُنتَظِرُونَ﴾
[ هود: 122]
Na ngojeni, na sisi tunangoja.
Surah Hud in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And wait, indeed, we are waiting."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na ngojeni, na sisi tunangoja.
Na yangojeni hayo mnayo yangojea, na sisi kadhaalika tunangojea ahadi ya Mwenyezi Mungu, kuwa wito wetu utashinda na tutawashinda maadui zake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hao ndio watakao karibishwa
- Wala kabisa usiwadhanie walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa ni maiti. Bali hao
- Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!
- (Waambiwe): Huu ndio ule Moto mlio kuwa mkiukanusha!
- Je! Mwenyezi Mungu si wa kumtosheleza mja wake? Na ati wanakutishia kwa hao wenginewe wasio
- Hakika kutesa kwa Mola wako Mlezi ni kukali.
- Mbele yangu haibadilishwi kauli, wala Mimi siwadhulumu waja wangu.
- Walipo wajia Mitume wao kwa dalili zilizo wazi walijitapa kwa ilimu waliyo kuwa nayo. Basi
- Naye akajitenga nao, na akasema: Ah! Masikini Yusuf! Na macho yake yakawa meupe kwa huzuni
- Au iko kwao siri, basi wao wanaiandika?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hud with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hud mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hud Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers