Surah Anam aya 123 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Anam aya 123 in arabic text(The Cattle).
  
   
ayat 123 from Surah Al-Anam

﴿وَكَذَٰلِكَ جَعَلْنَا فِي كُلِّ قَرْيَةٍ أَكَابِرَ مُجْرِمِيهَا لِيَمْكُرُوا فِيهَا ۖ وَمَا يَمْكُرُونَ إِلَّا بِأَنفُسِهِمْ وَمَا يَشْعُرُونَ
[ الأنعام: 123]

Kadhaalika katika kila mji tumewajaalia wakubwa wa wakosefu wao wafanye vitimbi ndani yake. Na wala hawafanyii vitimbi isipo kuwa nafsi zao, nao hawatambui.

Surah Al-Anam in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And thus We have placed within every city the greatest of its criminals to conspire therein. But they conspire not except against themselves, and they perceive [it] not.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kadhaalika katika kila mji tumewajaalia wakubwa wa wakosefu wao wafanye vitimbi ndani yake. Na wala hawafanyii vitimbi isipo kuwa nafsi zao, nao hawatambui.


Ewe Nabii! Usistaajabu ukiwaona wakuu wa wakosefu katika Makka wanapanga njama za shari za kila namna! Kwani huo ndio mtindo wao katika kila mji mkubwa. Wakuu wa wakosefu wake huwa kazi yao kuzua vitimbi vya shari. Na malipo ya uovu wake utakuja waangukia wenyewe, lakini wao hawatambui wala hawahisi.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 123 from Anam


Ayats from Quran in Swahili

  1. Namna hivi limewathibitikia makafiri neno la Mola wako Mlezi ya kwamba wao ni watu wa
  2. Enyi mlio amini! Si halali kwenu kuwarithi wanawake kwa nguvu. Wala msiwadhikishe ili mwapokonye baadhi
  3. Lakini alipuuza kwa sababu ya nguvu zake na akasema: Huyu ni mchawi au mwendawazimu!
  4. Zinamtakasa zote mbingu saba na ardhi na vyote viliomo ndani yake. Na hapana kitu ila
  5. Na wakumbuke waja wetu, Ibrahim na Is-haqa na Yaa'qubu walio kuwa na nguvu na busara.
  6. Tukawaambia: Nendeni kwa watu walio kanusha Ishara zetu. Basi tukawateketeza kabisa.
  7. Ya Firauni. Hakika yeye alikuwa jeuri katika wenye kupindukia mipaka.
  8. Na kabla yake kilikuwapo Kitabu cha Musa, kuwa chenye uwongozi na rehema. Na hichi ni
  9. Enyi mlio amini! Rukuuni na msujudu, na muabuduni Mola wenu Mlezi, na tendeni mema, ili
  10. Na wanapo fanya mambo machafu husema: Tumewakuta nayo baba zetu, na Mwenyezi Mungu ametuamrisha hayo.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Anam with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Anam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anam Complete with high quality
Surah Anam Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Anam Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Anam Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Anam Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Anam Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Anam Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Anam Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Anam Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Anam Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Anam Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Anam Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Anam Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Anam Al Hosary
Al Hosary
Surah Anam Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Anam Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, August 7, 2025

Please remember us in your sincere prayers