Surah Mursalat aya 48 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ ارْكَعُوا لَا يَرْكَعُونَ﴾
[ المرسلات: 48]
Na wakiambiwa: Inameni! Hawainami.
Surah Al-Mursalat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And when it is said to them, "Bow [in prayer]," they do not bow.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wakiambiwa: Inameni! Hawainami.
Na wakiambiwa: Swalini kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, na mnyenyekeeni Yeye, hawanyenyekei wala hawaswali; bali hushikilia kiburi chao!
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na mt'iini Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume, na tahadharini. Na ikiwa mtageuka basi jueni ya
- Wakasema: Je! Umetujia ili utuachishe tuliyo wakuta nayo baba zetu, na mpate nyinyi wawili ukubwa
- Na wakasema walio kufuru: Tutapo kuwa mchanga, sisi na baba zetu, hivyo kweli tutakuja tolewa?
- Macho hayamfikilii bali Yeye anayafikilia macho. Naye ni Mjuzi, Mwenye khabari.
- Hebu angalia! Ati wanafunika vilivyomo vifuani mwao ili wamfiche Mwenyezi Mungu! Jueni kuwa wanapo jigubika
- Wakasema: Mwache kidogo yeye na nduguye, na watume mijini wakusanyao,
- Tungeli taka tungeli yafanya yakawa mapepe, mkabaki mnastaajabu,
- Ijapo kuwa itawajia kila Ishara, mpaka waione adhabu iliyo chungu.
- Na Mwenyezi Mungu akunusuru nusura yenye nguvu -
- Na akawasomea, wasingeli kuwa wenye kuamini.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Mursalat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Mursalat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mursalat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



