Surah Al Imran aya 131 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَاتَّقُوا النَّارَ الَّتِي أُعِدَّتْ لِلْكَافِرِينَ﴾
[ آل عمران: 131]
Na uogopeni Moto ambao umeandaliwa kwa ajili ya makafiri.
Surah Al Imran in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And fear the Fire, which has been prepared for the disbelievers.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na uogopeni Moto ambao umeandaliwa kwa ajili ya makafiri.
Tahadharini na Moto ulio andaliwa kwa ajili ya makafiri kwa kujiepusha kutafuta kuihalalisha riba.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kwa hakika hii ni kauli iliyo letwa na Mjumbe mwenye hishima.
- Na kwa dari iliyo nyanyuliwa,
- Basi anaye tenda chembe ya wema, atauona!
- Hautakifikia upotovu mbele yake wala nyuma yake. Kimeteremshwa na Mwenye hikima, Msifiwa.
- Alipo waambia watu wake: Hamwogopi?
- Na Ishara hiyo kwao - ardhi iliyo kufa, nasi tukaifufua, na tukatoa ndani yake nafaka,
- Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.
- Haitakuwa ila ukelele mmoja tu, mara wote watahudhuruishwa mbele yetu.
- Atasema Mwenyezi Mungu: Tokomeeni humo, wala msinisemeze.
- Mfalme wa wanaadamu,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Imran with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Imran mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Imran Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



