Surah Luqman aya 31 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Luqman aya 31 in arabic text(Luqman).
  
   
ayat 31 from Surah Luqman

﴿أَلَمْ تَرَ أَنَّ الْفُلْكَ تَجْرِي فِي الْبَحْرِ بِنِعْمَتِ اللَّهِ لِيُرِيَكُم مِّنْ آيَاتِهِ ۚ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَاتٍ لِّكُلِّ صَبَّارٍ شَكُورٍ
[ لقمان: 31]

Kwani huoni kwamba marikebu hupita baharini zikichukua neema za Mwenyezi Mungu, ili kukuonyesheni baadhi ya Ishara zake? Hakika katika haya zipo Ishara kwa kila mwenye kusubiri, mwenye kushukuru.

Surah Luqman in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Do you not see that ships sail through the sea by the favor of Allah that He may show you of His signs? Indeed in that are signs for everyone patient and grateful.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kwani huoni kwamba marikebu hupita baharini zikichukua neema za Mwenyezi Mungu, ili kukuonyesheni baadhi ya Ishara zake? Hakika katika haya zipo Ishara kwa kila mwenye kusubiri, mwenye kushukuru.


Ewe mtu! Huzitazami marikebu, vyombo vinavyo kwenda baharini kwa rehema ya Mwenyezi Mungu, vikichukua ndani yake bidhaa za kukupeni manufaa, ili Mwenyezi Mungu akuonyesheni baadhi ya maajabu ya uundaji wake, na dalili za uweza wake? Hakika katika hayo zimo Ishara kwa kila mwenye kuvumilia mitihani yake, mwenye kuzishukuru kwa neema zake.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 31 from Luqman


Ayats from Quran in Swahili

  1. Ama wale ambao nyuso zao zitanawiri watakuwa katika rehema ya Mwenyezi Mungu. Wao humo watadumu.
  2. (Yule mtu) akasema: Huku ndio kufarikiana baina yangu na wewe. Sasa nitakueleza maana ya yale
  3. Na kwa watu wa Madyana tulimtuma ndugu yao Shua'ib. Akasema: Enyi watu wangu! Muabuduni Mwenyezi
  4. Basi hao huenda Mwenyezi Mungu akawasamehe. Na Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kusamehe, Mwingi wa
  5. Na nguo zako, zisafishe.
  6. Kama ada ya watu wa Firauni na walio kuwa kabla yao - walizikataa Ishara za
  7. Basi mtayakumbuka ninayo kuambieni. Nami namkabidhi Mwenyezi Mungu mambo yangu. Hakika Mwenyezi Mungu anawaona waja
  8. Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho.
  9. Na waonye siku inayo kurubia, wakati nyoyo zitakapo fika kooni, nao wamejaa huzuni. Madhaalimu hawatakuwa
  10. Na katika wanyama amekujaalieni wenye kubeba mizigo na kutoa matandiko. Kuleni katika alivyo kuruzukuni Mwenyezi

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Luqman with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Luqman mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Luqman Complete with high quality
Surah Luqman Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Luqman Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Luqman Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Luqman Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Luqman Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Luqman Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Luqman Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Luqman Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Luqman Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Luqman Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Luqman Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Luqman Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Luqman Al Hosary
Al Hosary
Surah Luqman Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Luqman Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, July 16, 2024

Please remember us in your sincere prayers