Surah Shuara aya 133 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَمَدَّكُم بِأَنْعَامٍ وَبَنِينَ﴾
[ الشعراء: 133]
Amekupeni wanyama wa kufuga na wana.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Provided you with grazing livestock and children
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Amekupeni wanyama wa kufuga na wana.
Kama alivyo kupeni mifugo kama ngamia, na ngombe, na kondoo, na mbuzi, na wana wenye nguvu, wakukulindieni mifugo yenu, na kukusaidieni katika shida za maisha.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Mkavu, na juu ya hayo, mshari, amejipachika tu.
- Na akatoa mkono wake, mara ukawa mweupe kwa watazamao.
- Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu wananunua upotovu na wanakutakeni nanyi mpotee njia?
- UJUZI wa kuijua Saa ya Kiyama unarudishwa kwake tu Mwenyezi Mungu. Na matunda hayatoki katika
- Sema: Hakika Mola wangu Mlezi humkunjulia riziki na humdhikisha amtakaye. Lakini watu wengi hawajui.
- Hao ndio watakao pata sehemu yao kwa sababu ya yale waliyo yachuma. Na Mwenyezi Mungu
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
- Zitajua ya kuwa zitafikiwa na livunjalo uti wa mgongo.
- Nayo ni Bustani za milele, wataziingia wao na walio wema miongoni mwa baba zao, na
- Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



