Surah Shuara aya 133 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَمَدَّكُم بِأَنْعَامٍ وَبَنِينَ﴾
[ الشعراء: 133]
Amekupeni wanyama wa kufuga na wana.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Provided you with grazing livestock and children
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Amekupeni wanyama wa kufuga na wana.
Kama alivyo kupeni mifugo kama ngamia, na ngombe, na kondoo, na mbuzi, na wana wenye nguvu, wakukulindieni mifugo yenu, na kukusaidieni katika shida za maisha.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kisha baada ya hayo Mwenyezi Mungu atawasamehe awatakao. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye
- Wale walio kufuru na kuzuilia Njia ya Mwenyezi Mungu tutawazidishia adhabu juu ya adhabu, kwa
- Hakika wachamngu watakuwa katika vivuli na chemchem,
- Lakini Mola wake Mlezi alimteua na akamfanya miongoni mwa watu wema.
- Hikima kaamili; lakini maonyo hayafai kitu!
- Na lau ungeli ona watavyo simamishwa mbele ya Mola wao Mlezi, akawaambia: Je, si kweli
- Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea.
- Enyi mlio amini! Mkimnusuru Mwenyezi Mungu naye atakunusuruni na ataithibitisha miguu yenu.
- Tazama vipi wanavyo kupigia mifano. Basi wamepotea. Kwa hivyo hawawezi kuipata njia.
- Kabla yenu zimepita nyendo nyingi; basi tembeeni katika ulimwengu muangalie vipi ulikuwa mwisho wa wanao
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers