Surah Shuara aya 133 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَمَدَّكُم بِأَنْعَامٍ وَبَنِينَ﴾
[ الشعراء: 133]
Amekupeni wanyama wa kufuga na wana.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Provided you with grazing livestock and children
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Amekupeni wanyama wa kufuga na wana.
Kama alivyo kupeni mifugo kama ngamia, na ngombe, na kondoo, na mbuzi, na wana wenye nguvu, wakukulindieni mifugo yenu, na kukusaidieni katika shida za maisha.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wale ambao wanakungojeeni, mkipata ushindi unao toka kwa Mwenyezi Mungu wao husema: Si tulikuwa pamoja
- Na wale walio amini na wakatenda mema tutawaingiza katika Pepo zipitazo mito kati yake kwa
- Wala hao mnao waomba badala yake Yeye hawana uweza wa kumwombea mtu, isipo kuwa anaye
- Sema: Sijimilikii nafsi yangu shari wala kheri ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Kila umma una muda
- Basi usiwat'ii makafiri. Na pambana nao kwayo kwa Jihadi kubwa.
- (Mtoto) akasema: Hakika mimi ni mtumwa wa Mwenyezi Mungu. Amenipa Kitabu, na amenifanya Nabii.
- Na kwa yakini tumeziumba juu yenu njia saba. Nasi hatukuwa wenye kughafilika na viumbe.
- Na wapigie mfano wa wakaazi wa mji walipo wafikia walio tumwa.
- Na uwainamishie bawa la unyenyekevu kwa kuwaonea huruma. Na useme: Mola wangu Mlezi! Warehemu kama
- Kwani hatukuwaangamiza walio tangulia?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



