Surah Najm aya 37 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِبْرَاهِيمَ الَّذِي وَفَّىٰ﴾
[ النجم: 37]
Na vya Ibrahimu aliye timiza ahadi?
Surah An-Najm in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And [of] Abraham, who fulfilled [his obligations] -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na vya Ibrahimu aliye timiza ahadi?
Na Ibrahim, aliye fika ukomo wa kutimiza aliyo agana na Mwenyezi Mungu,
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika pamoja na uzito upo wepesi.
- Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa.
- Mabustani ya milele watayaingia. Huko watavikwa vikuku vya dhahabu, na lulu, na nguo zao humo
- Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
- Tulimuahidi Musa masiku thalathini na tukayatimiza kwa kumi; ikatimia miadi ya Mola wake Mlezi masiku
- Hayawafikilii mawaidha mapya kutoka kwa Mola wao Mlezi ila huyasikiliza na huku wanafanya mchezo.
- HUENDA ikawa walio kufuru wakatamani wange kuwa Waislamu.
- Akasema: Je! Mmejua mliyo mfanyia Yusuf na nduguye mlipo kuwa wajinga?
- Na Mwenyezi Mungu amekutoeni matumboni mwa mama zenu, hali ya kuwa hamjui kitu, na amekujaalieni
- Mola wetu! Unighufirie mimi na wazazi wangu wote wawili, na Waumini, siku ya kusimama hisabu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Najm with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Najm mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Najm Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers