Surah zariyat aya 38 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَفِي مُوسَىٰ إِذْ أَرْسَلْنَاهُ إِلَىٰ فِرْعَوْنَ بِسُلْطَانٍ مُّبِينٍ﴾
[ الذاريات: 38]
Na katika khabari za Musa, tulipo mtuma kwa Firauni na hoja wazi.
Surah Adh-Dhariyat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And in Moses [was a sign], when We sent him to Pharaoh with clear authority.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na katika khabari za Musa, tulipo mtuma kwa Firauni na hoja wazi.
Na katika kisa cha Musa yapo mawaidha. Tulipo mtuma kwa Firauni, na tukatilia nguvu kwa kumpa ushahidi ulio wazi.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Pindi wakitolewa hawatatoka pamoja nao, na wakipigwa vita hawatawasaidia. Na kama wakiwasaidia basi watageuza migongo;
- Na wale walio chuma maovu, malipo ya uovu ni mfano wake vile vile, na yatawafika
- Sisi tukasema: Ewe moto! Kuwa baridi na salama kwa Ibrahim!
- Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii;
- Enyi mlio amini! Nawakutakeni idhini iliyo wamiliki mikono yenu ya kulia na walio bado kubaalighi
- Hakika wamekhasirika walio kanusha kukutana na Mwenyezi Mungu, mpaka ilipo wajia Saa kwa ghafla, wakasema:
- Sivyo hivyo! Bali nyinyi hamuwakirimu mayatima,
- Kuleni na mjifurahishe kidogo tu. Hakika nyinyi ni wakosefu!
- Hakika Mwenyezi Mungu huwakinga walio amini. Hakika Mwenyezi Mungu hampendi kila khaini mwingi wa kukanya
- Na Mariamu binti wa Imrani, aliye linda ubikira wake, na tukampulizia humo kutoka roho yetu,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah zariyat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah zariyat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter zariyat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



