Surah Shuara aya 132 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَاتَّقُوا الَّذِي أَمَدَّكُم بِمَا تَعْلَمُونَ﴾
[ الشعراء: 132]
Na mcheni aliye kupeni haya mnayo yajua.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And fear He who provided you with that which you know,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na mcheni aliye kupeni haya mnayo yajua.
Na tahadharini na ghadhabu za Mwenyezi Mungu aliye kukunjulieni neema zake, kwa mnayo yajua yaliyo mbele yenu ya vipawa vyake vya namna mbali mbali.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi ubaya wa waliyo yatenda utawadhihirikia, na yatawazunguka waliyo yafanyia maskhara.
- Siku litapo pulizwa barugumu, nanyi mtakuja kwa makundi,
- Katika nchi iliyo karibu. Nao baada ya kushindwa kwao watashinda
- Hata tukiwa mifupa iliyo bunguliwa?
- Niache peke yangu na niliye muumba;
- Na akaufanya mwezi ndani yake uwe nuru, na akalifanya jua kuwa taa?
- Wakifurahi kwa yale aliyo wapa Mola wao Mlezi. Na Mola wao Mlezi atawalinda na adhabu
- Na wanapo somewa Qur'ani hawasujudu?
- Ufalme wa mbingu na ardhi ni wa Mwenyezi Mungu; anaumba apendavyo, anamtunukia amtakaye watoto wa
- Enyi mlio amini! Takeni msaada kwa subira na Sala. Hakika Mwenyezi Mungu yu pamoja na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



