Surah Assaaffat aya 138 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَبِاللَّيْلِ ۗ أَفَلَا تَعْقِلُونَ﴾
[ الصافات: 138]
Na usiku. Basi je! Hamyatii akilini?
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And at night. Then will you not use reason?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na usiku. Basi je! Hamyatii akilini?.
Na hakika nyinyi, watu wa Makka, mnayapitia majumba ya hao kaumu Luti katika safari zenu za kwendea Sham asubuhi au usiku. Je! Mmepotelewa na akili zenu hata hamwezi kuzingatia yaliyo wapitia hao kuwa ni malipo ya ukanushaji wao?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi mbona hakuvikwa vikuku vya dhahabu, au hawakuja Malaika pamoja naye wakamwandama?
- Na utakapo yaona, utakuwa umeona neema na ufalme mkubwa.
- Naye ni Mwenyezi Mungu ambaye ni vyake Yeye vyote viliomo katika mbingu na ardhi. Na
- Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.
- Na piganeni katika Njia ya Mwenyezi Mungu, na jueni kwamba Mwenyezi Mungu ni Msikizi na
- Basi mkifanya wema, mnajifanyia wema nafsi zenu. Na mkifanya ubaya, mnajifanyia wenyewe. Na ikifika ahadi
- Hasha! Tutaandika anayo yasema, tutamkunjulia muda wa adhabu.
- Isipo kuwa anaye nyakua kitu kidogo, na mara humfwatia kimondo kinacho ng'ara.
- Basi leo nafsi yoyote haitadhulumiwa kitu, wala hamtalipwa ila yale mliyo kuwa mkiyatenda.
- Au wanasema: Huyu ni mtunga mashairi, tunamtarajia kupatilizwa na dahari.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers