Surah Anbiya aya 101 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّ الَّذِينَ سَبَقَتْ لَهُم مِّنَّا الْحُسْنَىٰ أُولَٰئِكَ عَنْهَا مُبْعَدُونَ﴾
[ الأنبياء: 101]
Ama wale ambao wema wetu umewatangulia, hao watatenganishwa na hayo.
Surah Al-Anbiya in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, those for whom the best [reward] has preceded from Us - they are from it far removed.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ama wale ambao wema wetu umewatangulia, hao watatenganishwa na hayo.
Hakika wale tulio wakubalia kwa kufuata kwao Haki na vitendo vya kheri, na tukawaahidi malipo mema, hao watawekwa mbali kabisa na Jahannamu na adhabu yake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na sitaki kwao riziki, wala sitaki wanilishe.
- Watu ambao biashara wala kuuza hakuwashughulishi na kumdhukuru Mwenyezi Mungu, na kushika Sala, na kutoa
- Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!
- Basi mfikieni Firauni na mwambieni: Hakika sisi ni Mitume wa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
- Na kwa mchana unapo lidhihirisha!
- Kisha tukaotesha humo nafaka,
- Muulizaji aliuliza juu ya adhabu itakayo tokea,
- Hakika tumewajaribu hawa kama tulivyo wajaribu wale wenye shamba, walipo apa kwamba watayavuna mazao yake
- Hatukukuteremshia Qur'ani ili upate mashaka.
- Wote hao si sawa sawa. Miongoni mwa Watu wa Kitabu wamo watu walio simama baraabara,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Anbiya with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Anbiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anbiya Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers