Surah Anbiya aya 101 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّ الَّذِينَ سَبَقَتْ لَهُم مِّنَّا الْحُسْنَىٰ أُولَٰئِكَ عَنْهَا مُبْعَدُونَ﴾
[ الأنبياء: 101]
Ama wale ambao wema wetu umewatangulia, hao watatenganishwa na hayo.
Surah Al-Anbiya in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, those for whom the best [reward] has preceded from Us - they are from it far removed.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ama wale ambao wema wetu umewatangulia, hao watatenganishwa na hayo.
Hakika wale tulio wakubalia kwa kufuata kwao Haki na vitendo vya kheri, na tukawaahidi malipo mema, hao watawekwa mbali kabisa na Jahannamu na adhabu yake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Zinamwangallia Mola wao Mlezi.
- Je, nikuaminini kwa huyu ila kama nilivyo kuaminini kwa nduguye zamani? Lakini Mwenyezi Mungu ndiye
- Hivi ni kwa sababu hakika Mwenyezi Mungu ndiye wa kweli, na hakika wanacho kiomba ni
- Wala msiwapunje watu vitu vyao, wala msifanye jeuri kwa ufisadi.
- Yeye ndiye aliye watoa walio kufuru miongoni mwa Watu wa Kitabu katika nyumba zao wakati
- Kwa maji hayo vitayayushwa viliomo matumboni mwao, na ngozi zao pia.
- Ni Nyota yenye mwanga mkali.
- Mwenye kusaidia msaada mwema ana fungu lake katika hayo, na mwenye kusaidia msaada mwovu naye
- Na (mtu kama huyo) anapo somewa Aya zetu huzipa mgongo kwa kujivuna, kama kwamba hakuzisikia,
- Na zinazo vuma kwa kasi!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Anbiya with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Anbiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anbiya Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers