Surah Mujadilah aya 14 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Mujadilah aya 14 in arabic text(The Pleading).
  
   

﴿۞ أَلَمْ تَرَ إِلَى الَّذِينَ تَوَلَّوْا قَوْمًا غَضِبَ اللَّهُ عَلَيْهِم مَّا هُم مِّنكُمْ وَلَا مِنْهُمْ وَيَحْلِفُونَ عَلَى الْكَذِبِ وَهُمْ يَعْلَمُونَ﴾
[ المجادلة: 14]

Huwaoni wale walio fanya urafiki na watu ambao Mwenyezi Mungu amewakasirikia? Hao si katika nyinyi, wala si katika wao. Na huapa kwa uwongo, na hali kuwa wanajua.

Surah Al-Mujadilah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Have you not considered those who make allies of a people with whom Allah has become angry? They are neither of you nor of them, and they swear to untruth while they know [they are lying].


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Huwaoni wale walio fanya urafiki na watu ambao Mwenyezi Mungu amewakasirikia? Hao si katika nyinyi, wala si katika wao. Na huapa kwa uwongo, na hali kuwa wanajua.


Ewe Mtume! Huwaoni wanaafiki walio wafanya marafiki watu ambao Mwenyezi Mungu ameghadhibika nao. Hawa wanao fanya urafiki si katika nyinyi, na hao wanao fanywa ni marafiki pia si katika nyinyi. Na wanaapa kwa uwongo, na huku wanajua kuwa wao ni waongo.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 14 from Mujadilah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na utawadhihirikia ubaya wa waliyo yachuma, yatawazunguka waliyo kuwa wakiyafanyia mzaha.
  2. Yeye ndiye aliye kuumbieni vyote vilivyomo katika ardhi. Tena akazielekea mbingu, na akazifanya mbingu saba.
  3. Na wabashirie walio amini na wakatenda mema kwamba watapata mabustani yapitayo mito kati yake; kila
  4. Na siku ambayo mwenye kudhulumu atajiuma mikono yake, na huku anasema: Laiti ningeli shika njia
  5. Hao ndio wanao sema: Msitoe mali kwa ajili ya walioko kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu,
  6. Kwake Yeye tu ndio marejeo yenu nyote. Hii ni ahadi ya Mwenyezi Mungu iliyo ya
  7. Au wanasema: Huyu ni mtunga mashairi, tunamtarajia kupatilizwa na dahari.
  8. Basi walipo ihisi adhabu yetu, mara wakaanza kukimbia.
  9. Basi usimwombe mungu mwingine pamoja na Mwenyezi Mungu ukawa miongoni mwa watakao adhibiwa.
  10. Tukawaambia: Nendeni kwa watu walio kanusha Ishara zetu. Basi tukawateketeza kabisa.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Mujadilah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Mujadilah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mujadilah Complete with high quality
Surah Mujadilah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Mujadilah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Mujadilah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Mujadilah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Mujadilah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Mujadilah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Mujadilah Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Mujadilah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Mujadilah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Mujadilah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Mujadilah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Mujadilah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Mujadilah Al Hosary
Al Hosary
Surah Mujadilah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Mujadilah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, February 26, 2026

Please remember us in your sincere prayers