Surah Mujadilah aya 14 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Mujadilah aya 14 in arabic text(The Pleading).
  
   

﴿۞ أَلَمْ تَرَ إِلَى الَّذِينَ تَوَلَّوْا قَوْمًا غَضِبَ اللَّهُ عَلَيْهِم مَّا هُم مِّنكُمْ وَلَا مِنْهُمْ وَيَحْلِفُونَ عَلَى الْكَذِبِ وَهُمْ يَعْلَمُونَ﴾
[ المجادلة: 14]

Huwaoni wale walio fanya urafiki na watu ambao Mwenyezi Mungu amewakasirikia? Hao si katika nyinyi, wala si katika wao. Na huapa kwa uwongo, na hali kuwa wanajua.

Surah Al-Mujadilah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Have you not considered those who make allies of a people with whom Allah has become angry? They are neither of you nor of them, and they swear to untruth while they know [they are lying].


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Huwaoni wale walio fanya urafiki na watu ambao Mwenyezi Mungu amewakasirikia? Hao si katika nyinyi, wala si katika wao. Na huapa kwa uwongo, na hali kuwa wanajua.


Ewe Mtume! Huwaoni wanaafiki walio wafanya marafiki watu ambao Mwenyezi Mungu ameghadhibika nao. Hawa wanao fanya urafiki si katika nyinyi, na hao wanao fanywa ni marafiki pia si katika nyinyi. Na wanaapa kwa uwongo, na huku wanajua kuwa wao ni waongo.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 14 from Mujadilah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Wanajadiliana nawe kwa jambo la Haki baada ya kwisha bainika, kama kwamba wanasukumwa kwenye mauti
  2. Mola wetu Mlezi! Tutoe humu Motoni. Na tufanyapo tena basi kweli sisi ni wenye kudhulumu.
  3. Enyi mlio amini! Mkikutana na jeshi, basi kueni imara, na mkumbukeni Mwenyezi Mungu sana ili
  4. Kilipo ufunika huo Mkunazi hicho kilicho ufunuika.
  5. Ameziumba mbingu na ardhi kwa haki, na akakupeni sura, na akazifanya nzuri sura zenu. Na
  6. Litakase jina la Mola wako Mlezi aliye juu kabisa,
  7. Je! Huoni kwamba Mwenyezi Mungu ameteremsha maji kutoka mbinguni, na kwayo tumeyatoa matunda yenye rangi
  8. Ambao hutoa wanapo kuwa na wasaa na wanapo kuwa na dhiki, na wanajizuia ghadhabu, na
  9. Si dhambi juu ya walio amini na wakatenda mema kwa walivyo vila (zamani) maadamu wakichamngu
  10. Na piganeni katika Njia ya Mwenyezi Mungu na wale wanao kupigeni, wala msianze uadui. Kwani

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Mujadilah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Mujadilah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mujadilah Complete with high quality
Surah Mujadilah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Mujadilah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Mujadilah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Mujadilah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Mujadilah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Mujadilah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Mujadilah Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Mujadilah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Mujadilah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Mujadilah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Mujadilah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Mujadilah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Mujadilah Al Hosary
Al Hosary
Surah Mujadilah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Mujadilah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, April 29, 2026

Please remember us in your sincere prayers