Surah Abasa aya 15 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿بِأَيْدِي سَفَرَةٍ﴾
[ عبس: 15]
Zimo mikononi mwa Malaika waandishi,
Surah Abasa in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[Carried] by the hands of messenger-angels,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Zimo mikononi mwa Malaika waandishi,
Katika mikono ya Malaika ambao Mwenyezi Mungu amewafanya ndio mabalozi baina yake na Mitume wake;
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ama wale wa mashakani hao watakuwamo Motoni wakiyayayatika na kukoroma.
- Nao walikuwa wakichonga majumba katika milima kwa amani.
- Na mkitaka kubadilisha mke mahali pa mke, na hali mmoja wao mmempa chungu ya mali,
- Siku hiyo itahadithia khabari zake.
- Wala hatukuwa tukiwalisha masikini.
- Basi walipo ihisi adhabu yetu, mara wakaanza kukimbia.
- Kwani hawakuona ya kwamba Mwenyezi Mungu aliye umba mbingu na ardhi ni Mwenye kuweza kuumba
- Na kila nafsi italipwa kwa yale iliyo yafanya, na Yeye anayajua sana wanayo yatenda.
- Na bila ya shaka zimewajia khabari zenye makaripio.
- Mola wangu Mlezi! Niokoe mimi na ahali zangu na haya wayatendayo.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Abasa with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Abasa mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Abasa Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



